Jeff
JF-Expert Member
- Sep 26, 2009
- 1,293
- 200
Wana jukwaa wenzangu wa JF, habarini za leo!
Kama ambavyo tunajua nchi yetu ilivyokuwa ngumu, nimepigana kutafuta fursa za kimaisha na sasa niko katika mchakato wa kuomba chuo nje ya nchi. nimekwama kwenye bank statement wana JF naomba mnisaidie kwa yeyote mwenye kuweza na ana moyo wa kunisaidia please!
0762-323935
Kama ambavyo tunajua nchi yetu ilivyokuwa ngumu, nimepigana kutafuta fursa za kimaisha na sasa niko katika mchakato wa kuomba chuo nje ya nchi. nimekwama kwenye bank statement wana JF naomba mnisaidie kwa yeyote mwenye kuweza na ana moyo wa kunisaidia please!
0762-323935