Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,618
Hii hata Mimi naijua huwa naitumia inasaidia sana.inatakiwa katikati ya kiganja baada ya kusugua kwapani.sio kwamba kusugua kwapani mpaka uvue nguo,Bali sugua hivyo hivyo hata bila kuvua nguo
Dawa ya kichefuchefu nusa tu harufu ya kikwapa dakika moja kikwapa chako njoo utupe mrejesho mm ndo dawa nayotumia nikipata hilo tatizo na hata wazee wa zaman ndo ilikua dawa yao hio
Ni kweli, mimi hunisaidia sana, hata kwa kunusa kwapa bila kusugua na mikono, kichefuchefu huwezi kujisikia tena kwa wakati huo.
Ukiwa umekaa sugua kwapa la kulia na mkono wa kushoto.kisha wavkulia kwapa la kushoto mkono wa kulia.kila umalizapo mkono unuse
Duh, kumbe watu wengi mnaijua hii dawa!
Yaani nilikuwa napitia uzi nione kama hakuna aliyetoa hii dawa niitoe fasta, hivi mliijuaje nyie?
Maana hii dawa ni kiboko ya kichefu chefu.
Halafu huwa najiuliza kama ukitumia kikwapa cha mwenzako utapona pia?