Uwaache na masufuria ya hotel ya kuosha ili kufidia gharama za hivyo vinywajiAfu ni waache na nani
Unapajua kisuma au unaropoka tu
Waambie wazirudishe fastaJamani nipo hapa magomeni usalama kisuma bar nimekuja na Dada zangu wametoka mpwayungu dodoma nikawaambia waagize vinywaji mm naenda toilet.
Sasa chakushangaza nimetoka maliwato Ile nafika wote wawili wameagiza savanna nane yaani kila mtu nne nne. Nimepigwa na butwaa maana hivi vinywaji imported hapa kisuma ni 5000 namm nimekuja na hela ya eagle na pliziner tu vinginevyo hii ni kesi. Sasa nimekuja haraka humu jukwani center of intelligence mnipe ushauri wa haraka vinginevyo tutaitwa vibaka hapa.
Nipe namba ya mmoja wao nimtumie muhamalaUshamba tu umewasumbua na hawana hata Mia wapo wapo tu ni dada zangu wa damu
Hakuna soln zaidi ya kulipa.Ukisema wachange watasema nitoe namba, Sasa swala la kutoa namba yangu ya simu humu jamii forum ni hatari zaidi.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kurudisha ni aibu halooHakuna soln zaidi ya kulipa.
Au kama jamaa alivyosema rudisha ambazo hazijafunguliwa.
Hapana kama unataka kutuma Sema nikupe namba ya wakala kabisa utumeNipe namba ya mmoja wao nimtumie muhamala
Ngumu ndugu, itakuwa ni fedheha ya hali ya juuWaambie wazirudishe fasta
Heri nusu shari kuliko shari kamili mkuu maana hapo hakuna namna. Mimi niliwahi kuwapeleka watu shoppers wakashop vitu almost vya laki sita ilikiwa aibu pale kaunta. Yani ilikuwa kituko haswaa[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kurudisha ni aibu haloo
Sawa ila swala la kukufata chumbani bado sipo tayari kwaajili ya usalama wanguUnasaidiwa unaleta jeuri. Hapo ndio kijiwe chetu madalali tunakopa hadi vyumba. Sasa nani apajui hapo kota za utumishi jirani?
Sio vizuri na haiwezekaniUwaache na masufuria ya hotel ya kuosha ili kufidia gharama za hivyo vinywaji
Ushauri una option mbili kukubali au kuukataa. Sasa wa kwako nimeukataa [emoji35]Umetaka tukupe ushauri halafu unanipangia ushauri wa kukupa? Basi pambana na hali yako.
Hahahaha inaonekana slay queen wako na genge lake walikunyoosha mjuba😅Heri nusu shari kuliko shari kamili mkuu maana hapo hakuna namna. Mimi niliwahi kuwapeleka watu shoppers wakashop vitu almost vya laki sita ilikiwa aibu pale kaunta. Yani ilikuwa kituko haswaa
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Ulifanyaje kujinasua kwenye huo mtegoHeri nusu shari kuliko shari kamili mkuu maana hapo hakuna namna. Mimi niliwahi kuwapeleka watu shoppers wakashop vitu almost vya laki sita ilikiwa aibu pale kaunta. Yani ilikuwa kituko haswaa
🤣🤣🤣 Mjuba slay queen wapi, watu wametoka huko mkoani ndugu nikasema twende na nyinyi msukume vitorori. Wee walijaza ule mtorori mkubwa kufika kaunti kila akipitsha barcode reader naona pesa inasoma tu nikiangalia torori bado limejaa mara laki sita jasho linanitoka. Dah ilikuwa aibu sema nilitoka nje nikachukua ela atm nikalipa ila nilikuwa sizungumzi njia nzima mpaka tunafika tegeta.Hahahaha inaonekana slay queen wako na genge lake walikunyoosha mjuba😅
Hahahahah wananchi wamesukuma kitololi kweri kweri😅 wakihisi wewe ni kama Drake kwenye Gods plan video!🤣🤣🤣 Mjuba slay queen wapi, watu wametoka huko mkoani ndugu nikasema twende na nyinyi msukume vitorori. Wee walijaza ule mtorori mkubwa kufika kaunti kila akipitsha barcode reader naona pesa inasoma tu nikiangalia torori bado limejaa mara laki sita jasho linanitoka. Dah ilikuwa aibu sema nilitoka nje nikachukua ela atm nikalipa ila nilikuwa sizungumzi njia nzima mpaka tunafika tegeta.
Nilikuwa na ela nilitoka nikachukua atm nikalipa maana niliona aibu kurudisha halafu kulikuwa na vibinti vinacheka vinanongonezana yani tulionekana kama tumeingia sehemu bila kujua gharama washamba flani[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Ulifanyaje kujinasua kwenye huo mtego
Acha kabisa mkuu na wote walikuwa mabinti. Nlikoma toka siku hiyo nikienda na mtu shopping namwambia kabisa awe anasoma bei na isizidi kiasi flani.Hahahahah wananchi wamesukuma kitololi kweri kweri😅 wakihisi wewe ni kama Drake kwenye Gods plan video!
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Nilikuwa na ela nilitoka nikachukua atm nikalipa maana niliona aibu kurudisha halafu kulikuwa na vibinti vinacheka vinanongonezana yani tulionekana kama tumeingia sehemu bila kujua gharama washamba flani