Naombeni msaada wa haraka jamani, vinginevyo naumbuka

Waambie wazirudishe fasta
 
Heri nusu shari kuliko shari kamili mkuu maana hapo hakuna namna. Mimi niliwahi kuwapeleka watu shoppers wakashop vitu almost vya laki sita ilikiwa aibu pale kaunta. Yani ilikuwa kituko haswaa
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Ulifanyaje kujinasua kwenye huo mtego
 
Hahahaha inaonekana slay queen wako na genge lake walikunyoosha mjuba😅
🤣🤣🤣 Mjuba slay queen wapi, watu wametoka huko mkoani ndugu nikasema twende na nyinyi msukume vitorori. Wee walijaza ule mtorori mkubwa kufika kaunti kila akipitsha barcode reader naona pesa inasoma tu nikiangalia torori bado limejaa mara laki sita jasho linanitoka. Dah ilikuwa aibu sema nilitoka nje nikachukua ela atm nikalipa ila nilikuwa sizungumzi njia nzima mpaka tunafika tegeta.
 
Hahahahah wananchi wamesukuma kitololi kweri kweri😅 wakihisi wewe ni kama Drake kwenye Gods plan video!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…