Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #101
Maeneo haya yamezungukwa na polisi, hawaruhusu kupiga pichaWeka picha
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] NgumuMtafute aliyewahudumia na umuulize kama anajua wewe ndio boss na kwanini hajasikiliza order Yako,make it arise vinywaji vinginevyo katoa offer na asisumbuliwe yeyote[emoji848]
Mwaka 2011/2012 kulikuwa na kuchanja kwenye supermarkets. Umeona nimemwambia jamaa sikuzungumza njia nzima mpaka nafika tegeta kwasababu tulitoka tegeta kwenda shoppers opp na mayfair kwasababu kipindi hicho hakukuwa na supermarket hata kibo complex ilikuwa bado, shoppers ya mbezi ilikuwa bado otherwise tusingefunga safari from tegeta to huko. Hii inakuonyesha kwamba ni miaka kadhaa iliyopitaHapo ndio utajua Stori Ni ya Kutunga. Kiufupi huyo Nafaka inaonekana hajawahi kuingia Shopping Mall (Super Market). Kila Super Market kwenye Payment wana Option ya Scanning(Bar Code Payment),Card Swapping na Mobile Transaction au Bank Mobile. Aache kudanganya watu hapa. Yaani Stori Nyingi za hili Jukwaa la MMU Ni za Kutunga (FAKE NEWS Kwa mjibu wa Trump).
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamani nipo hapa magomeni usalama kisuma bar nimekuja na Dada zangu wametoka mpwayungu dodoma nikawaambia waagize vinywaji mm naenda toilet.
Sasa chakushangaza nimetoka maliwato Ile nafika wote wawili wameagiza savanna nane yaani kila mtu nne nne. Nimepigwa na butwaa maana hivi vinywaji imported hapa kisuma ni 5000 namm nimekuja na hela ya eagle na pliziner tu vinginevyo hii ni kesi.
Sasa nimekuja haraka humu jukwani center of intelligence mnipe ushauri wa haraka vinginevyo tutaitwa vibaka hapa.
Endelea kuwapenda hivyo hivyo kwa kulipa hio biliWe vp. Hawa ni dada zangu nikimwambia warudishe wataona siwapendi
Ili waagize kutokana na hela iliyopo,ss kama dada zako unawaonea aibu je makahaba yale ya mjini inakuwaje ?Duh. Unatoa maelezo hata hujajua wanaagiza nn
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kosa ni kwamba kama wewe ndio umemuita weita ila kama wameita wenyewe... getini unapita kifua mbelee
Hayo nayaambia live bila chengaIli waagize kutokana na hela iliyopo,ss kama dada zako unawaonea aibu je makahaba yale ya mjini inakuwaje ?
Asante [emoji120]Endelea kuwapenda hivyo hivyo kwa kulipa hio bili