Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Hapo simple tu muite muhudumu atoe zote ambazo hazijafunguliwaa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia kenge weweHumu jamii forum Kuna watu wanakera sana, yaani mtu yupo serious lakini Kuna misambwanda inaandika ushuzi tu
Jaman cha dada hapo hayo ni mangwafi tuu jamaa anatafuta utelezi, madada zako uwaonee aibuVile ambavyo wamefungua lipia mkuu, vile ambavyo bado waambie warudishe. Isitoshe kama ni dada zako kweli huwezi kuwaonea aibu, utawapa makavu uwezo wako mfukoni ili waone mnafanyaje, maybe wao wako vizuri.
We mwehu niniTulia kenge wewe
Basi pambana na ubahili wakoSio vizuri na haiwezekani
@Maxence Melo usipo ban account ya huyu mtu mimi najitoa jamii forum. Mm sio kengeTulia kenge wewe
@Maxence Melo ban huyu mtuTulia kenge wewe
We vp. Hawa ni dada zangu nikimwambia warudishe wataona siwapendiJaman cha dada hapo hayo ni mangwafi tuu jamaa anatafuta utelezi, madada zako uwaonee aibu
?[emoji848][emoji848]
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Watasema mbona unatoaHapo simple tu muite muhudumu atoe zote ambazo hazijafunguliwaa..
Wewe ni kenge tu@Maxence Melo ban huyu mtu
Mkuu samahani kwa kuuliza,kwanini ulitoka kuchukua hela ATM ndio ukalipa badala ya kulipa kwa kutumia hiyo hiyo kadi yako ya ATM?Nilikuwa na ela nilitoka nikachukua atm nikalipa maana niliona aibu kurudisha halafu kulikuwa na vibinti vinacheka vinanongonezana yani tulionekana kama tumeingia sehemu bila kujua gharama washamba flani
Tafuta HelaUshauri una option mbili kukubali au kuukataa. Sasa wa kwako nimeukataa [emoji35]
Ni miaka karibu tisa au kumi iliopita, hayo mambo ya kuchanja yalikuwa hayajazagaa bado na kadi za umoja zilikuwa zinachomoa pesa umoja switch ilibidi niende mpaka kwemye atm za umoja pale kwenye kituo cha mwalimu maana hata shoppers hazikuwepo.Mkuu samahani kwa kuuliza,kwanini ulitoka kuchukua hela ATM ndio ukalipa badala ya kulipa kwa kutumia hiyo hiyo kadi yako ya ATM?
[emoji23][emoji23]ni hatari[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mjuba slay queen wapi, watu wametoka huko mkoani ndugu nikasema twende na nyinyi msukume vitorori. Wee walijaza ule mtorori mkubwa kufika kaunti kila akipitsha barcode reader naona pesa inasoma tu nikiangalia torori bado limejaa mara laki sita jasho linanitoka. Dah ilikuwa aibu sema nilitoka nje nikachukua ela atm nikalipa ila nilikuwa sizungumzi njia nzima mpaka tunafika tegeta.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Umekamatwa. Hii story umetungaNi miaka karibu tisa au kumi iliopita, hayo mambo ya kuchanja yalikuwa hayajazagaa bado na kadi za umoja zilikuwa zinachomoa pesa umoja switch ilibidi niende mpaka kwemye atm za umoja pale kwenye kituo cha mwalimu maana hata shoppers hazikuwepo.
Hapana kweli kabisa ilikuwa 2011 au 2012 sina kumbukumbu exactly mambo ya kuchanja hayakuwepo na hata yangekuwepo umoja switch zama hizo card zao hazikuwa visa wala mastercard lazima utoe pesa kwenye atm zao tu[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Umekamatwa. Hii story umetunga
600,000!!!Heri nusu shari kuliko shari kamili mkuu maana hapo hakuna namna. Mimi niliwahi kuwapeleka watu shoppers wakashop vitu almost vya laki sita ilikiwa aibu pale kaunta. Yani ilikuwa kituko haswaa