Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawakujua kama itakuwa that much walikuwa wametoka huko mkoa na mimi nikawapeleka wasukume vitoroli. Si kwamba walikuwa washamba, ila walikotoka hakuna supermarket kama shoppers600,000!!!
Walikuws na ugomvi na wewe au walikuona pedeshee???
Hapana sura zetu tumefanana. Tupo kurwa na dottoHivi hi I'd yako, zee korofi na mkulungwa1 Ni mtu mmoja?[emoji848]
Situmii Voda ila tayari yashaisha tumeyamalizaKopa songesha
Sema nimechelewa...Situmii Voda ila tayari yashaisha tumeyamaliza
Dalili za umasikini hizoMimi huwa sioni aibu kuwambia watu bajeti yangu ni sh ngapi mfukoni Kwa wakati huo
Bora kuwa muwazi
Sio sura TU,Hapana sura zetu tumefanana. Tupo kurwa na dotto
[emoji1787]kimbia mkuu
Hakuna jipya kuleMpwayungu kuna watoto wa kali kiongozi ? Tuzamie huko
Sasa wao wangesema hawanywi kinywaji kingine zaidi ya savannaNimechelewa kuona huu Uzi..ningekushauri zile chupa ambazo hazijafunguliwa umuite mhudumu azirudishe na unaki na idadi ya chupa ambazo zitaendana na kiasi cha pesa ulichokuwa nacho.
Naamini chupa zote hizo hazikufunguliwa kwa wakati mmoja.
Tusaidie ulivyolimalizaSasa wao wangesema hawanywi kinywaji kingine zaidi ya savanna
Kuna member yupo humu JF alinisaidia 30000 Leo asubuhi nimemtumia pesa yakeTusaidie ulivyolimaliza
Jambo jema..urafiki wa kweliiKuna member yupo humu JF alinisaidia 30000 Leo asubuhi nimemtumia pesa yake
Kivipi mkuu ?Hakuna jipya kule
Nenda weweKivipi mkuu ?