Naombeni msaada wa haraka kuhusu huyu mwanamke

Naombeni msaada wa haraka kuhusu huyu mwanamke

Sharobaro la jf

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2020
Posts
237
Reaction score
325
Poleni na majukumu ya kujenga nchi wakuu, nije kwenye mada kuna mwanamke ninampenda sana ila sasa tumejenga urafiki mkubwa sana na yeye anaamini mimi ni rafiki yake sasa hapa ndio pananichanganya hata kumtongoza maana nawaza atanionaje.

Japo nampenda sana ila nimeshindwa kumwambia ya moyoni kutokana na mipaka yetu ya urafiki, huyu mwanamke tuna urafiki wa miezi2 sasa na tumekuwa tukisaidiana mambo mbalimbali.

Ndio maana naona hata haya kumtongoza, wakuu nipeni mbinu mimi kijana mwenzenu nataka kuuwa ufriendship ili nimtongoze, nifanyaje?
 
Sharobaro la jf, Acha uzembe mzee..kula shortcut tumia matendo sio maneno....kuna njia nyingi za kutumia gharama au bila gharama,
1 kwa gharama mpeleke sehemu itayomtega huko anza taratibu..

mshike uone respond yake ukiona unatolewa mkono huna chako,Gia nyingine aje home jitoe ufahamu mzee wakati wa kuondoka jifanye una muhug mkiss ukiona hakatai pita humo humo [emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chelewa chelewa utakuta mwali si wako walisemaga wahenga
 
Tatizo keshakuona wewe ni 'mpenzi mtazamaji' pengine uliingia na gear ya kujifanya mwema sana. Hawa viumbe fikra zao wanazijua wenyewe, saa nyingine inabidi ujitoe akili kuwapata.
Kuna njia moja ambayo huwa haifeli, hakikisha kila siku asubuhi unatuma muamala bila ya maelezo, ajue tu umetoka kwako. Mwenyewe atajileta. Tofauti na hapo meseji zako za 'umekula my' zitakuacha hapo hapo ulipo kwenye 'urafiki'.
 
Mwombe mwende hata lunch urafiki uendelee kwa mda akuzoee kabisa ,awe karibu kabisa,siku nyingine mwite geto mwambie tuangalie movie nina movie kali hivi au mwombe akusaidie kupika(hapo kama na yeye anakutaka lazima atajiongeza )akishakuja geto yale mambo yatakuja automatic.



♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Dem ukishaanza nae ukaribu kama rafiki huwa ni ngum sana kumbadilishia mada alaf uskute ye anakupenda sema tu we ndo unakua unaona siyo ustaarabu
Mtongoze hivyohivyo siyo dadako huyo
Sent using GunTrigger
 
Poleni na majukumu ya kujenga nchi wakuu, nije kwenye mada kuna mwanamke ninampenda sana ila sasa tumejenga urafiki mkubwa sana na yeye anaamini mimi ni rafiki yake sasa hapa ndio pananichanganya hata kumtongoza maana nawaza atanionaje.

Japo nampenda sana ila nimeshindwa kumwambia ya moyoni kutokana na mipaka yetu ya urafiki, huyu mwanamke tuna urafiki wa miezi2 sasa na tumekuwa tukisaidiana mambo mbalimbali.

Ndio maana naona hata haya kumtongoza, wakuu nipeni mbinu mimi kijana mwenzenu nataka kuuwa ufriendship ili nimtongoze, nifanyaje???
mwandikie barua
 
Back
Top Bottom