Sharobaro la jf
JF-Expert Member
- Apr 23, 2020
- 237
- 325
[emoji123]Mtongoze kwa vitendo sio maneno...me wangu nawatongezeaga kitandani tukiwa naked kabisa
sawaa
Mtongoze kwa vitendo sio maneno...me wangu nawatongezeaga kitandani tukiwa naked kabisa
Mtongoze kwa vitendo sio maneno...me wangu nawatongezeaga kitandani tukiwa naked kabisa
sawaa
Dem ukishaanza nae ukaribu kama rafiki huwa ni ngum sana kumbadilishia mada alaf uskute ye anakupenda sema tu we ndo unakua unaona siyo ustaarabu
Mtongoze hivyohivyo siyo dadako huyo
Sent using GunTrigger
mwandikie baruaPoleni na majukumu ya kujenga nchi wakuu, nije kwenye mada kuna mwanamke ninampenda sana ila sasa tumejenga urafiki mkubwa sana na yeye anaamini mimi ni rafiki yake sasa hapa ndio pananichanganya hata kumtongoza maana nawaza atanionaje.
Japo nampenda sana ila nimeshindwa kumwambia ya moyoni kutokana na mipaka yetu ya urafiki, huyu mwanamke tuna urafiki wa miezi2 sasa na tumekuwa tukisaidiana mambo mbalimbali.
Ndio maana naona hata haya kumtongoza, wakuu nipeni mbinu mimi kijana mwenzenu nataka kuuwa ufriendship ili nimtongoze, nifanyaje???
MsiyuuuuuMtongoze kwa vitendo sio maneno...me wangu nawatongezeaga kitandani tukiwa naked kabisa
sawaa
Hakuna ugumu wowote kaa naye chini umweleze hisia zako.