Naombeni msaada wa haraka

Naombeni msaada wa haraka

Jordan jacob

Member
Joined
May 28, 2016
Posts
26
Reaction score
4
Nina gari aina ya Toyota dyna ton 3,tatizo lake nikwamba nikiwasha tu ,ninapokanyaga mafuta maajia yanapulizwa kuja juu kwenye rejeta,nimebadili head gasket,nimesafisha rejeta lakin bado,na haichemshi,.
 
Ulipima.block na cylinder head
 
Back
Top Bottom