Naombeni msaada wa kiafya kuhusu afya yangu

Kwa level ulio fikia nimeamua nivae condom mikononi ndio nicomment hapa ila unachotafuta utakipata
 
Hi Avatar yako akili yangu haitaki kukubali kama unachangamoto hiyo. Lakini kama kweli tumia dawa, kuna mtu namjua mwaka wa ishirini huu anadunda tu.
 
Tumia dawa utakata moto ndugu, kuna mtu naye aliyeachaga kutumia hizo dawa sababu zilimchosha aliumwa akakonda akabaki mifupa na kichwa mwisho akafariki.
 
Pole sana kalanga1 kwa changamoto za kiafya unazopitia.

HIV & AIDS bado ni kizungumkuti kwa mwanadamu.

Kama umejaribu njia nyinginezo zimedunda, nadhani sasa unatakiwa ufuate ushauri wa kitaalaamu.

ARVs should now be your best companion...

Ila I think... HOFU + STRESS ndizo zinaimaliza afya yako.

-Kaveli-
 
Sasa kama mtu ana TB na TB haijatibiwa atakonda na kufa ,unapaswa kutibu ugonjwa unaokusumbua ukimwi hauuwi kama inavyodaiwa ni magonjwa ndio yanauwa
 
Sasa kama mtu ana TB na TB haijatibiwa atakonda na kufa ,unapaswa kutibu ugonjwa unaokusumbua ukimwi hauuwi kama inavyodaiwa ni magonjwa ndio yanauwa
Hiki unachozungumza hapa wala si kitu kipya ni kotu ambacho wataalam wanasema.siku zote na ndio hao hao wanashauri mwenye ukimwi atumie ARV ili kuhakilisha anathibiti hivyo virusi visiweze kufanya mwili wake uppteze kinga ya asili akapata hayoagonjwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…