No, mwisho wa mwezi wanakutoa tena kama kawa.Nawasalimu wakuu,Mimi ni mfanyakazi wa kampuni binafsi nimeomba likizo ya mwaka na kukubaliwa ila kuna jambo linanitatiza nqaombeni kufahamishwa, kile kiasi cha mshahara unachopewa cha mwezi mmoja je ni sehemu ya mshahara wangu wa huo mwezi nilio chukua hiyo likizo?
Kuna watu hampo serious unafanya kazi lakini haujui stahili zako zikoje!Nawasalimu wakuu,Mimi ni mfanyakazi wa kampuni binafsi nimeomba likizo ya mwaka na kukubaliwa ila kuna jambo linanitatiza nqaombeni kufahamishwa, kile kiasi cha mshahara unachopewa cha mwezi mmoja je ni sehemu ya mshahara wangu wa huo mwezi nilio chukua hiyo likizo?
Haya ni matatizo ya kutokusoma mkataba wa ajiraKuna watu hampo serious unafanya kazi lakini haujui stahili zako zikoje!
Malipo ya likizo ni tofauti na mshahara.Nawasalimu wakuu,Mimi ni mfanyakazi wa kampuni binafsi nimeomba likizo ya mwaka na kukubaliwa ila kuna jambo linanitatiza nqaombeni kufahamishwa, kile kiasi cha mshahara unachopewa cha mwezi mmoja je ni sehemu ya mshahara wangu wa huo mwezi nilio chukua hiyo likizo?
Soma mkataba wa ajira yako, sasa utauliza hapa mangapi?Ndio maana nikauliza mkuu
Kweli kabisa, kuna watu wakipewa mkataba wanakimbilia tu kuangalia kiwango cha mshahara na makato, na mwisho wa mkataba..kwingine wanapitisha macho tu bila kuelewa pana umuhimu..Haya ni matatizo ya kutokusoma mkataba wa ajira