Michael Anthon
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 219
- 108
Samahanini kama haitaleta mashiko kwenu ila mwenzenu naombeni msaada wakimawazo kwa wenye utaalaumu humu ndani
Ndugu yangu ana tatizo la kusinzia muda wote haijalishi usiku analala au laah anapokaa tuu hasa kama wakati wamchana basi yeye hachelewi kulala utakuta mnaongea ukijiziuka kidogo utajikuta unaongea peke yako ananishangaza wakati mwingine hata akiwa anatembea basi anatembea huku anasinzia najiuliza niusingizi gani huu usio isha?
Je kama niugonjwa basi naombeni kufahamisha ugonjwa huu unaitwaje na unasababishwa na nini? Alizaliwa safi na alikuwa mchangamfu sana lakini toka 2006 tatizo hili lilipompata hana uchangamfu ule wamwanzo jinsi ugonjwa huu ulivyoanza ilikuwa jioni moja tukiwa katika mlo wa jioni kijijini huko namtumbo gafla tukaona mwenzetu anaweweseka nakupoteza fahamu toka hapo ni kusinzia tu mpaka leo hivyo kama kuna anaejua ugonjwa huu na namna ya kutibia atakuwa amenisaidia asanteni
Ndugu yangu ana tatizo la kusinzia muda wote haijalishi usiku analala au laah anapokaa tuu hasa kama wakati wamchana basi yeye hachelewi kulala utakuta mnaongea ukijiziuka kidogo utajikuta unaongea peke yako ananishangaza wakati mwingine hata akiwa anatembea basi anatembea huku anasinzia najiuliza niusingizi gani huu usio isha?
Je kama niugonjwa basi naombeni kufahamisha ugonjwa huu unaitwaje na unasababishwa na nini? Alizaliwa safi na alikuwa mchangamfu sana lakini toka 2006 tatizo hili lilipompata hana uchangamfu ule wamwanzo jinsi ugonjwa huu ulivyoanza ilikuwa jioni moja tukiwa katika mlo wa jioni kijijini huko namtumbo gafla tukaona mwenzetu anaweweseka nakupoteza fahamu toka hapo ni kusinzia tu mpaka leo hivyo kama kuna anaejua ugonjwa huu na namna ya kutibia atakuwa amenisaidia asanteni