Naombeni msaada wa kufahamishwa taratibu za kupata uraia wa Kenya

ha ha haaa.. Kweli umechoka, mi mwenyewe nawaza kutoka, linchi linaboa sana hili, tupo pamoja mkuu ngoja watupe taratibu zake!
 
Sidhani kama kuna utaratibu wowote,mi nadhani unaingia tu nna kuanza mishe kama wao wanavyofanyaga huku kwetu.
 
Hehehe pambana huko huko, paka grisi kwenye vyuma kitaeleweka tu, huwa naskia mkiambiwa mpo kwenye raiti traki.
Japo Kenya huwa imefungua mipaka yake kwa wana EAC, kuna Watanzania wengi wanaishi Kenya na kupiga mishe bila matatizo ila kwa utawala wenu wa sasa umelea visasi na bifu sana na kuchokoza Wakenya too much na inawezekana wakiendelea hivi Watanzania waliopo Kenya watapata tabu siku za usoni, labda aje mtawala mwengine kwenu atakayejaribu kuosha chuki zote ambazo zimefukiwa kwa sasa.

Kikwete alikua anachokonoa Wakenya ila anapuliza na kutukuna, lakini utawala wa sasa duh full majungu na chuki, halafu naskia huko kwenu upinzani umeisha, kila uchao mnafanya chaguzi za wabunge wanaohama aidha kwa kununuliwa au kuchumia tumbo.
 
HILI LINCHI NATAMANI UTUPIE NYUKLIA TUIFLASH TUANZE UPYA...
 
Before kubadili uraia jiulize mara kumi kumi... pia unawakana wazazi wako kisa Kenya hahha khaa nchi hiyo ya jirani. Badala utafute nchi ya maana unataka kuwa mkenya khaaa!! Pia heri utafute fursa tu kenya na sio kuwa mkenya ndugu yangu.. ukitaka ishi bila maawazo Tanzania wewe dili na issue zako usimwaze kiongozi yoyote au uongozi unaokuzunguka... lol yaan navyopenda utanzania wangu mie.. naenda kenya kupiga deals tu na sina wazo la kuwa mkenya nimeacha nchi kibao za maana huko leo mtu aje nisikia mm ni mkenya atanishangaa sana sio siri. Ila ni wewe but
NB: ,fikiri kabla hujachukua hatua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…