Naombeni msaada wa kuifahamu kikosa morogoro kiundani

Naombeni msaada wa kuifahamu kikosa morogoro kiundani

BABA BOMBASTIC

Senior Member
Joined
Jul 10, 2024
Posts
146
Reaction score
246
Nina kusudi la kuenda kilosa kutafuta maisha,naombeni msaada wa wapi pakuanzia.
Kodi ya chumba ni bei ghani kule??
Watu wanaopatikana huko ni wanaroho nzuri au hawataki wageni??
Utafutaji wa kule ni wa aina gani'je biashara na kilimo zinalipa kwa huko??
Nina mpango wa kwenda kuishi mvumi kilosa je uchaguzi wangu ni mnzuri au nimekurupuka?
KWA SASA nipo Dar maisha ya huku yamenichosha'nahitaji nibadilishe mazingira'ni fanye vitu tofauti ,maisha ya dar yamenifundisha mengi ni kama nilikuwa darasani nimeishi Dar kwa miaka 7 sasa nataka niende nikatumie elimu yangu morogoro.
Naombeni ABC zote za kilosa ndugu zangu.
 
Sumu haijaribiwi kwa kuionja, ukishindwa Dar ambako unaweza kuishi hata kwa upambe mikoani lazima uwe na channel na network ya uhakika.
 
Sumu haijaribiwi kwa kuionja, ukishindwa Dar ambako unaweza kuishi hata kwa upambe mikoani lazima uwe na channel na network ya uhakika.
Tofautisha sumu na utafutaji,sisi sote tumeumbiwa hii dunia kuzunguka na kutafuta mkate mahali popote hapa duniani'mbona kuna wanaigeria wapo China wanatafuta maisha??riziki ya mbwa ipo miguuni mwake
 
Tofautisha sumu na utafutaji,sisi sote tumeumbiwa hii dunia kuzunguka na kutafuta mkate mahali popote hapa duniani'mbona kuna wanaigeria wapo China wanatafuta maisha??riziki ya mbwa ipo miguuni mwake
Tawire baba.
 
Una mtaji kiasi Gani? Kilosa utalima na kufuga,,,, raia wako poa tu hakuna shida ! Mwanzo unaweza ku_struggle kuseto, lakini baada ya muda mambo yatajipa ! All the best ! Kipndi cha mvua kunakuwa na maaafa ya marufiko, zinatia sana eneo la kuishi, usienda kupanga kichwa kichwa kisa bei kitonga
 
Back
Top Bottom