Naombeni msaada wa kupata wimbo huu

Naombeni msaada wa kupata wimbo huu

Madaga

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
505
Reaction score
634
Habari ndugu zangu wapenda muziki wa dansi!
Ninatafuta wimbo wa zamani wa bendi ya dansi, uliosikika sana miaka ya 2002/2003 kwenye redio. Sikumbuki jina la wimbo wala bendi, lakini mashairi yake yalikuwa na maneno kama:

"Masai kavamia pori kakutana na Wamakonde,
Wamemchoma mishale ya sumu,
Wamemchoma mishale ya sumu,

Kata kiu eeeeeeeeee..."

Wimbo huu uliimbwa na mwimbaji wa kiume, na nina hisia huenda ulikuwa wa Twanga Pepeta, Msondo Ngoma, Sikinde, Vijana Jazz, Maquis Original au bendi nyingine maarufu za dansi za wakati huo.

Kama kuna mtu anaukumbuka jina la wimbo au bendi iliyoimba, tafadhali nisaidie! Naomba msaada wenu wapenda dansi!

Asanteni sana.
 
Habari ndugu zangu wapenda muziki wa dansi!
Ninatafuta wimbo wa zamani wa bendi ya dansi, uliosikika sana miaka ya 2002/2003 kwenye redio. Sikumbuki jina la wimbo wala bendi, lakini mashairi yake yalikuwa na maneno kama:

"Masai kavamia pori kakutana na Wamakonde,
Wamemchoma mishale ya sumu,
Wamemchoma mishale ya sumu,

Kata kiu eeeeeeeeee..."

Wimbo huu uliimbwa na mwimbaji wa kiume, na nina hisia huenda ulikuwa wa Twanga Pepeta, Msondo Ngoma, Sikinde, Vijana Jazz, Maquis Original au bendi nyingine maarufu za dansi za wakati huo.

Kama kuna mtu anaukumbuka jina la wimbo au bendi iliyoimba, tafadhali nisaidie! Naomba msaada wenu wapenda dansi!

Asanteni sana.
Nawaza tu , saa saba Usiku Mzeee unawaza lyrics za huu wimbo.
 
Back
Top Bottom