FatherOfAllSnipers
JF-Expert Member
- Mar 13, 2019
- 1,692
- 4,442
tatizo mtu natoa ombi serious wewe unaleta mzaha mkuu. huo muda nitakaotumia kufuga lasta mpaka zikue, niende airport nikae. mbona unaleta manbo ya ajabu kakaFuga rasta kakae airport pale
Usisahau KYtatizo mtu natoa ombi serious wewe unaleta mzaha mkuu. huo muda nitakaotumia kufuga lasta mpaka zikue, niende airport nikae. mbona unaleta manbo ya ajabu kaka
sawa mkuuKila la kheri kaka
sawa mkuuMcheki member mmoja kwa jina la per diem huyu kalowea huko norway nadhani leo anaibuka na thread nyingine
nimesha enda pm kaka
alisema ana miaka 31una passport? na una miaka mingapi nikushauri
ajaribu hiyo ishu hapo chinialisema ana miaka 31
kwenda kwenyewe mbele kunaitaji mtaji vilevile.Capital is invitable.Wakuu naombeni mwenye uwezo au conection ya kunipeleka ulaya anisaidie niepukana na haya maisha ya kifukara.
Mara mia nikawe fukara huku duniani kuliko kuwa fukara hapa nyumbani.
Mimi kazi yoyote ile nafanya, isipokuwa kuolewa.
Sihitaji ushauli wa kujiajiri sababu sina mtaji. Hapa tu niko kwenye intarnet cafe hapa msasani napeluzi JF nimelipia.
Sina simu ya kusema niuze nipate mtaji.