Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama uko Dar tafuta kampuni inaitwa watu huwa wana ofis sehemu mbal mbal Dar km vile kibo complexHello jamaa zangu, tumaini langu mnaendelea vizuri. Naitaji kupata pikipiki Kwa ajiri ya biashara Ila pesa yangu ni kidogo sana.
Ningependa kujua kama Kuna wadau wanayajua makampuni yanayokopesha pikipiki na masharti yao ni yapi?
Nenda HalmashauriHello jamaa zangu,
Tumaini langu mnaendelea vizuri.
Nahitaji kupata pikipiki Kwa ajiri ya biashara ila pesa yangu ni kidogo sana.
Ningependa kujua kama Kuna wadau wanayajua makampuni yanayokopesha pikipiki na masharti yao ni yapi?
Wanatoa mikopo ya pikipikiHalmashauri Kuna pikipiki?
Nenda watakuelezaProcedure zao zikoje?