Jostrick
Member
- Jun 7, 2013
- 66
- 35
Habar ndugu zangun, mimi ni mwanafunz wa MUCE first yr nasoma Ed in science (Math) sasa naomba kujua kama mm kuchukua somo moja inaweza ikaniletea shida ktk swala la ajira...?
Vilevile kuna tatzo lolote hapo baadae kwa mm kuchukua somo moja?
Naombeni mnishaur mdogo wenu,,....
Vilevile kuna tatzo lolote hapo baadae kwa mm kuchukua somo moja?
Naombeni mnishaur mdogo wenu,,....