Nimejaribu kupitia pitia humu kuhusu ufugaji wa hizi aina mbili za kuku nimegundua yafuatayo.
Kwa upande wa broiler nimegundua kuwa wanahitaji umakini wa hali ya juu haswa kwenye chakula wanahitaji chakula maalum cha kiwandani au kitengenezwe na mfugaji kwa formula inayotakiwa na watakula mwanzo hadi mwisho wanapotoka kwa ajili ya soko pia wanahitaji usafi huku upande wa Kuroiler nimesikia wao huwa wala starter kipindi cha mwezi wa kwanza na mbeleni unaweza endelea kuwapa chakula kama cha kuku wa kienyeji wa kawaida na kwa kuongezea hawa unaweza kuwafuga kwa free range.
Kwa upande wa changamoto nilizozisikia ni kwamba kwa upande wa broiler risk iliyopo ni endapo utachelewa kupata soko basi kuku wataendelea kula mtaji sababu itabidi wanunuliwe chakula wakati washafikisha muda wa kutoka ila pia upande wa Kuroiler nimesikia wafugaji wanalalamika humu kuwa kuku mpaka wanafikia miezi 6 hawajaanza kutaga au bado hawajakua vizuri kufikia ukubwa wa soko je hapa kwa kesi kama hii ya hawa kuroiler ndio lile tatizo la kusema inatakiwa upate vifaranga vya F1??? Ingawa kwa muda huo huo nimesikia tena vifaranga vya F1 vya kuroiler ni bei ghali tofauti na vifaranga hivi vya mtaani ambavyo bei yake mara nyingi ina range Tsh 2300 - 2700.
Najua humu tuna wafugaji wengu tu hivyo basi naomba nipate ujuzi wenu enyi wafugaji mliomo humu kati ya broiler na Kroiler ni aina gani nzuri ya kuanzia ufugaji maana sina ujuzi wa ufugaji zaidi Mbwa na kuku wa kienyeji wale wa nyumbani ambapo ufugaji ule sio wa kibiashara, Nataka nianze vifaranga angalau 200 nipate ujuzi kwanza halafu baada ya hapo niongezee mpaka kufika vifaranga 1000.
Kwa upande wa broiler nimegundua kuwa wanahitaji umakini wa hali ya juu haswa kwenye chakula wanahitaji chakula maalum cha kiwandani au kitengenezwe na mfugaji kwa formula inayotakiwa na watakula mwanzo hadi mwisho wanapotoka kwa ajili ya soko pia wanahitaji usafi huku upande wa Kuroiler nimesikia wao huwa wala starter kipindi cha mwezi wa kwanza na mbeleni unaweza endelea kuwapa chakula kama cha kuku wa kienyeji wa kawaida na kwa kuongezea hawa unaweza kuwafuga kwa free range.
Kwa upande wa changamoto nilizozisikia ni kwamba kwa upande wa broiler risk iliyopo ni endapo utachelewa kupata soko basi kuku wataendelea kula mtaji sababu itabidi wanunuliwe chakula wakati washafikisha muda wa kutoka ila pia upande wa Kuroiler nimesikia wafugaji wanalalamika humu kuwa kuku mpaka wanafikia miezi 6 hawajaanza kutaga au bado hawajakua vizuri kufikia ukubwa wa soko je hapa kwa kesi kama hii ya hawa kuroiler ndio lile tatizo la kusema inatakiwa upate vifaranga vya F1??? Ingawa kwa muda huo huo nimesikia tena vifaranga vya F1 vya kuroiler ni bei ghali tofauti na vifaranga hivi vya mtaani ambavyo bei yake mara nyingi ina range Tsh 2300 - 2700.
Najua humu tuna wafugaji wengu tu hivyo basi naomba nipate ujuzi wenu enyi wafugaji mliomo humu kati ya broiler na Kroiler ni aina gani nzuri ya kuanzia ufugaji maana sina ujuzi wa ufugaji zaidi Mbwa na kuku wa kienyeji wale wa nyumbani ambapo ufugaji ule sio wa kibiashara, Nataka nianze vifaranga angalau 200 nipate ujuzi kwanza halafu baada ya hapo niongezee mpaka kufika vifaranga 1000.