Naombeni msaada wadau huu ni ugonjwa wa kuku...?.

Naombeni msaada wadau huu ni ugonjwa wa kuku...?.

NDUKI

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2013
Posts
3,422
Reaction score
2,418
Habari zenu wadau.

Natumai mu-wazima kabisa na mnaendelea vyema kabisa na ujenzi wa taifa letu pendwa la Tanzania.

Kama mada husika inavyojieleza hapo juu, nahitaji msaada wenu wadau katika hii sekta ya ufugaji. Well, tunafuga kuku hapa nyumbani sasa kuna tatizo limejitokeza kwa baadhi ya kuku tunashindwa kuelewa linasababishwa na nini na nini ni tiba ya tatizo hilo. Kuku anakuwa anajirusha rusha kama anataka kufa hivi, kisha utakuta anaangalia juu na shingo inajikunja, inalegea, kisha huanza kuishiwa nguvu na kuanza kusinzia kama anataka kufa hivi, wengine na miguu yao huwa imejinyosha tu na haina nguvu i.e hawawezi kusimama kabisa yaani.


Kuku_One.jpg


Kuku_Two.jpg



Najua wazi kuwa hapa nilipo nipo sehem sahihi kabisa mahali Jamii inapokutana, hivyo naombeni msaada wenu wadau wa hii sekta. Natanguliza shukran zangu kwenu.

Wakuu Malile, Mama Joe, Nono, Chasha Poultry, Kubota.


Asanteni sana.
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wadau.

Natumai mu-wazima kabisa na mnaendelea vyema kabisa na ujenzi wa taifa letu pendwa la Tanzania.

Kama mada husika inavyojieleza hapo juu, nahitaji msaada wenu wadau katika hii sekta ya ufugaji. Well, tunafuga kuku hapa nyumbani sasa kuna tatizo limejitokeza kwa baadhi ya kuku tunashindwa kuelewa linasababishwa na nini na nini ni tiba ya tatizo hilo. Kuku anakuwa anajirusha rusha kama anataka kufa hivi, kisha utakuta anaangalia juu na shingo inajikunja, inalegea, kisha huanza kuishiwa nguvu na kuanza kusinzia kama anataka kufa hivi, wengine na miguu yao huwa imejinyosha tu na haina nguvu i.e hawawezi kusimama kabisa yaani.


Kuku_One.jpg


Kuku_Two.jpg



Najua wazi kuwa hapa nilipo nipo sehem sahihi kabisa mahali Jamii inapokutana, hivyo naombeni msaada wenu wadau wa hii sekta. Natanguliza shukran zangu kwenu.

Asanteni sana.

Pole sana,hao kuku wako ni aina gani,kienyeji au?
 
kuna ugonjwa unaitwa mareki's kiswahili huitwa mahepe..... ni ugonjwa wa virusi na hauna tiba zaid wape antibiotic OTC 10% Inatosha...... na hutokea kwa kuku wachache sana na pia ni nadra kutokea.. huwapata kuku wa wiki 16-30 na chanjo yake hutolewa kwa kuku wa siku moja... naomba kuwasilisha
 
kuna ugonjwa unaitwa mareki's kiswahili huitwa mahepe..... ni ugonjwa wa virusi na hauna tiba zaid wape antibiotic OTC 10% Inatosha...... na hutokea kwa kuku wachache sana na pia ni nadra kutokea.. huwapata kuku wa wiki 16-30 na chanjo yake hutolewa kwa kuku wa siku moja... naomba kuwasilisha
nduki hili alilokujibu Moi Dinya ndio jibu sahihi kulingana na picha ulizopost hasa hiyo picha ya pili
 
Last edited by a moderator:
kuna ugonjwa unaitwa mareki's kiswahili huitwa mahepe..... ni ugonjwa wa virusi na hauna tiba zaid wape antibiotic OTC 10% Inatosha...... na hutokea kwa kuku wachache sana na pia ni nadra kutokea.. huwapata kuku wa wiki 16-30 na chanjo yake hutolewa kwa kuku wa siku moja... naomba kuwasilisha

Thanks a lot mkuu.

Huo ugonjwa wa mahepe husababishwa na nini kiongozi ?.

Na pia natumai utakuwa umesoma mada vizuri mkuu hivi ni kweli hawa kuku wa broiler hukaa mpaka hizo wiki (16-30) ulizozitaja hapo juu kiongozi ?.
 
Poleni sana sana. Swali
Analouliza ni Muhimu sana. "Ugonjwa huu unasababishwa na nini". Na pia nadhani ni
Muhimu sana kujua - inakuwaje unafika katika banda (transmission) ni muhimu kujua hilo ili kupata mbinu za kuzuia usitokee tena.
 
nduki hili alilokujibu Moi Dinya ndio jibu sahihi kulingana na picha ulizopost hasa hiyo picha ya pili


Nashkuru kiongozi.

Kama hii tiba hupewa kuku wa siku moja si inamaanisha wanatakiwa kupewa kiwandani au unawapa mwenyewe kiongozi ?.

Na pia nimeona amesema huu ugonjwa huwapata kuku wenye umri wa wiki 16-30 hivi hawa kuku broiler hukaa muda wote huo labda ni kwa minajili gani kiongozi wangu ?.

Shukran sana mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Poleni sana sana. Swali
Analouliza ni Muhimu sana. "Ugonjwa huu unasababishwa na nini". Na pia nadhani ni
Muhimu sana kujua - inakuwaje unafika katika banda (transmission) ni muhimu kujua hilo ili kupata mbinu za kuzuia usitokee tena.


Ni kweli kabisa kiongozi ni vyema sababu pia ikajulikana ili husababishwa (huenezwa) na kitu gani mpaka kuwafikia kuku bandani kiongozi...?.

Thanks a lot mkuu.
 
Nashkuru kiongozi.

Kama hii tiba hupewa kuku wa siku moja si inamaanisha wanatakiwa kupewa kiwandani au unawapa mwenyewe kiongozi ?.

Na pia nimeona amesema huu ugonjwa huwapata kuku wenye umri wa wiki 16-30 hivi hawa kuku broiler hukaa muda wote huo labda ni kwa minajili gani kiongozi wangu ?.

Shukran sana mkuu.

Unaweza kutokea katika umri wowote kuanzia mwezi mmoja kuendelea, kwa hao broilers chanjo wanapewa kiwandani. Lakini chanjo kama ilivyo kitu kingine chochote haina uhakika wa asilimia 100. Ikitokea hiyo ndio unatapa idadi ndogo ya kuku kupata ugonjwa
 
wanamafua au gomboro


Kwanza nafurahi nna bahati kuwa post yako ya kwanza tu imekuja kwangu.

Mkuu, wengine hawana mafua ila kuna mmoja tu niliona jana anatokwa na majimaji puani na mdomoni kiongozi labda yawezekana, ngoja tuwaskilize wataalam tupate ushauri zaidi nadhani itasaidia na wengine pia wenye tatizo pacha.

Nashkuru ndugu.
 
toka lini broiler wakaugua mahepe?? mahepe inajotokeza kuanzia week ya 16.....
na husababishwa na viruses...
magonjwa yote ya viruse hukingwa kabla hayajatokea
 
Unaweza kutokea katika umri wowote kuanzia mwezi mmoja kuendelea, kwa hao broilers chanjo wanapewa kiwandani. Lakini chanjo kama ilivyo kitu kingine chochote haina uhakika wa asilimia 100. Ikitokea hiyo ndio unatapa idadi ndogo ya kuku kupata ugonjwa


Ni kweli kabisa kaka. Si wengi ni wachache kwa idadi ni kama kumi na kitu hivi.

Wakipatwa na hiyo hali huwa tunawatoa na kuwaweka pembeni kwenye upepo baada ya muda huwa wanasimama na kuanza kutembea ila wakiwa dhoofu kabisa kiongozi.
 
Back
Top Bottom