NDUKI
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 3,422
- 2,418
- Thread starter
- #21
toka lini broiler wakaugua mahepe?? mahepe inajotokeza kuanzia week ya 16.....
na husababishwa na viruses...
magonjwa yote ya viruse hukingwa kabla hayajatokea
Asante sana mkuu nashkuru kwa mchango wako kiongozi. Sasa kwa uzoefu wako huu unaweza kuwa ni ugonjwa gani mkuu...?.
Thanks a lot.
Cc Moi Dinya, alphonce.NET
Last edited by a moderator: