ndugu yako
Senior Member
- Mar 30, 2013
- 193
- 96
habari zenu wakuu wa jukwaa hili!
wanabodi naomba msaada wenu katika kunisaidia kujibu haya maswali yangu!
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]1) je ni kweli kuwa kama kampuni ikianzishwa na watu wawili au zaidi, waanzilishi wa hiyo kampuni hawawezi kuwa na hisa sawa?! mfano, nimeambiwa eti kwenye kampuni ambayo imeanzishwa na watu wawili haiwezekani wote kuwa na hisa kiwango sawa yan asilimia 50 kwa 50 au asilimia 45 kwa 45, ila kinachowezekana ni mmoja kuwa na hisa nyingi zaidi ya mwingine yani inapaswa kuwa walau asilimia 50 kwa 40?!
2) je million tano zinatosha kuwa mtaji wa kuanzisha kampuni?!
3) je mtu anaweza kuanzisha kampuni (officially) bila ya kuwa na phyiscal office?!
4) kwa kampuni inayoanza na mtaji wa millon 5 Tsh. inatakiwa kulipa kodi asilimia ngapi?!
b) kodi inalipwa mwanzoni kampuni inapofunguliwa au inalipwa kutokana na faida kampuni iliyopata?!
5)kwa kuanzisha kampuni ambayo kwa kuanzia itakuwa ina deal na uwekezaji mdogo mdogo mfano kuwekeza katika soko la hisa, kuwekeza katika public transport like daladala, natakiwa niwe na leseni ngapi na za aina gani?!
b) bei ya leseni kwa hapa Tanzania ni kiasi gani?
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
wanabodi naomba msaada wenu katika kunisaidia kujibu haya maswali yangu!
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]1) je ni kweli kuwa kama kampuni ikianzishwa na watu wawili au zaidi, waanzilishi wa hiyo kampuni hawawezi kuwa na hisa sawa?! mfano, nimeambiwa eti kwenye kampuni ambayo imeanzishwa na watu wawili haiwezekani wote kuwa na hisa kiwango sawa yan asilimia 50 kwa 50 au asilimia 45 kwa 45, ila kinachowezekana ni mmoja kuwa na hisa nyingi zaidi ya mwingine yani inapaswa kuwa walau asilimia 50 kwa 40?!
2) je million tano zinatosha kuwa mtaji wa kuanzisha kampuni?!
3) je mtu anaweza kuanzisha kampuni (officially) bila ya kuwa na phyiscal office?!
4) kwa kampuni inayoanza na mtaji wa millon 5 Tsh. inatakiwa kulipa kodi asilimia ngapi?!
b) kodi inalipwa mwanzoni kampuni inapofunguliwa au inalipwa kutokana na faida kampuni iliyopata?!
5)kwa kuanzisha kampuni ambayo kwa kuanzia itakuwa ina deal na uwekezaji mdogo mdogo mfano kuwekeza katika soko la hisa, kuwekeza katika public transport like daladala, natakiwa niwe na leseni ngapi na za aina gani?!
b) bei ya leseni kwa hapa Tanzania ni kiasi gani?
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]