Naombeni msaada wapendwa!!!!!

Naombeni msaada wapendwa!!!!!

St. RR natamami mikufunge miguu usiondoke..umetulambisha asali afu wakimbia na sega?? hebu develop bana

Teamo sasa ninaanza kukuelewa orait orait............so hitimisho hapa ni kuwa wote wenye malove mariaje wajiandae eeh!!
 
I wish ningekuwa na "nyumba ndogo" 7!!!

Kulala kitanda kimoja na mwanamke yuleyule 7 days a week inakaraha zake!
 
Hivi huyo mke yeye hana mtu wake wa pembeni? Na hajawahi kabisa kuchepuka nje ya ndoa yake? Kama hajawahi kuchepuka kuna ushahidi wowote unaothibitisha hivyo? Au keshawahi kuchepuka lakini kwa vile hakuna anayejua basi inakuwa hajawahi kufanyo hivyo?
 
Amwendeleze mkewe tu au huyo mama atafute kozi aanze kusoma mwenyewe taratibu ndio mwendo na tumeona wengi sana wamefanikiwa kwa njia hii, na asisahau kumshirikisha mungu kwenye jambo hili maana ni zito sana. mpe pole sana
 
St. RR natamami mikufunge miguu usiondoke..umetulambisha asali afu wakimbia na sega?? hebu develop bana

Teamo sasa ninaanza kukuelewa orait orait............so hitimisho hapa ni kuwa wote wenye malove mariaje wajiandae eeh!!

Hebu nieleweshe ulichoelewa kwa huyu mfalme wa amani aishiye vitani......hata kwa pm....
 
St. RR natamami mikufunge miguu usiondoke..umetulambisha asali afu wakimbia na sega?? hebu develop bana

Teamo sasa ninaanza kukuelewa orait orait............so hitimisho hapa ni kuwa wote wenye malove mariaje wajiandae eeh!!
EXACTLY MAMA!

infact every woman in so called LOVE MARRIAGE.......!she has to feel the heat!very very unfortunately ni kwamba wanaume wa kisasa ''they are more than smarter''
 
LD hujambo?
Huyu mme hakukosea kumwoa mkewe...japo pia hakukosea kuwa na mpango wa nje (najua ni dhambi).....
Nadhani wakati wanaona walikua kompatibo zaidi ya sasa....
Alichokosea huyu mme ni kumwacha mkewe nyuma katika masuala ya kimaisha, hadi akakosa kujiamini (kwa kiwango cha kuogopa hausigeli)...
Hatari kubwa iliyo mbele ya hii familia ni uhusishaji wa nguvu za giza...........
labda ntarudi.....


Sijambo kaka, Shikamooo!!
Mmmmh, mchawi ni nani sasa kaka angu?
 
Labda nipe maana ya kosa......then tutaongea...
Mzima wewe?

Kazini na mwanamke asiye mke wake "Amri ya ngapi tena vile "USIZINI" then "USITAMANI MWANAMKE ASIYE MKE WAKO"

Kwanini hawajasema Mwanaume??? Hilo ndo kosa umenisoma.

Mie mzima nammiss BE wangu tu sijui yuko wapi
 
I wish ningekuwa na "nyumba ndogo" 7!!!

Kulala kitanda kimoja na mwanamke yuleyule 7 days a week inakaraha zake!

kyabushaija vipi mpwa.....!

kuna wahudumu hawaonekani tena ''pale mahala''...

vipi uliwahamisha?
 
I wish ningekuwa na "nyumba ndogo" 7!!!

Kulala kitanda kimoja na mwanamke yuleyule 7 days a week inakaraha zake!

Kyabushaija aka.....
Shikamoooo!!!
Eti wasema, Mpe ushauri mother house basi!!!
 
Kwa kweli inasikitisha kwa hiyo hali iliyopo kwa huyo madha haus, lakini hata hivyo asione kuwa mmewe ni mbaya kuliko wengine wote, kwani kwa scenario iliyopo hapo, kwa wanaume wengi ungekuta hali ni mbaya zaidi, pengine baba alishahamia kwa huyo wa nje, au alishamtimua mama kabisa.

Kabla sijajibu moja kwa moja maswali yako, napenda niseme kwa mtazamo wangu kwenye ndoa kuna mihimili mikuu mitatu..

  1. Love affairs (between husband and wife)
  2. Social Affairs (Children, relatives, housing, etc care taking)
  3. Developmental/Economic affairs
Ingawa maelezo yako yamebase sana kwenye mhimili wa tatu na wa pili, lakini ni rahisi mtu ku-predict kuhusu mhimili wa kwanza.

Inavyoonyesha ni kuwa hawa wamama wawili wanazidiana namna tofauti. Huyu mama mkubwa inaonyesha pamoja na kuwa hana kipaji katika kubuni na kusimamia developmental/economic affairs, lakini bila shaka ana kipaji katika love and social affairs, ndo maana akaonwa, akapendwa, akaolewa, na amedumu katika ndoa yake. Ndo maana pamoja na kuwapo kwa huyo wa pembeni, lakini mume wake anaona umuhimu wa kuendelea kuwa naye, tena anakaa (analala), kwake. Hata hivyo inaonyesha lakini kuwa mama mdogo ana viwango fulani katika love and social affairs nda maana pamoja na mchango wake kwenye uchumi, bado 'ameleta mtoto'

Huyu mama asijisikie vibaya wala mnyonge, kwa ni alichokifanya huyu baba ni udhaifu kama ulivyo kwa wababa wengi, bahati mbaya nyumba ndogo imekuja kuonyesha strengths za kipekee, na baba akatekwa na hiyo opportunity. Huyu mama afikirie kuwa ingekuwa huyu mama mdogo ni average woman, angeweza kutumia strength yake kushawishi huyu baba amfukuze, au angemfanyia chochote.

Huyu mama akubali tu matokeo akijua kuwa strings zilizomuunganisha mumewe kwa huyo wa pembeni ni strong kuzikata. Hata hivyo hiyo isimkatishe tamaa, wanadamu wanazidiana. Kikubwa zaidi, isidhaniwe kuwa uwezo wa kimawazo ya biashara au vinginevyo alio nao huyu bi mdogo ni kutokana na elimu yake pekee, hapana, ni kipaji. Wapo watu waliosoma sana tena wana madegree ya uchumi, lakini mpe hata biashara ya nyanya, inamshinda.

Kwa hiyo, kwa kujibu maswali yako:

Huyu baba hakukosea kumuoa mke wanayetofautiana kielimu. Kuoana ni kupendana, na bila shaka alimpenda. Wapo wengi waliooana wakiwa na viwango sawa au vinavyoendana vya elimu, na bado ndoa zao zimevunjika, au ni za mateso

Kumuendeleza kielimu kwa sasa na umri wao, na majukumu ya kifamilia inaweza isiwe rahisi sana. Lakini pia kama nia itakuwa kumuendeleza ili 'waendane' kimawazo inaweza isiwe suluhisho la matatizo yao kwenye ndoa. After all, inaweza kuongeza matatizo.

Ni vizuri mtu kuoana na mtu ambaye akili zenu zinaendana, ndiyo. Hata hivyo kuendana kwa akili hakutathminiwi tu na elimu ya darasani, bali pia na hobby, vipaji n.k. Hata hivyo, kuendana kwa akili ni jambo moja, lakini kupendana, na kuwa na uwezo wa kuvumiliana ndilo la muhimu zaidi. Narejea tena, wapo wengi waliooana na viwango sawa vya elimu, wasiendane, na wapo waliooana na viwango tofauti sana vya elimi, na wanaishi raha mustarehe.

Huyu baba hafanyi makosa kumfanya mpango mdogo kuwa mshauri wa masuala ya maendeleo. Hatujui kipi kilianza; kuwa huyu baba alikutana na huyu bi Mdogo kwenye biashara, baadae 'shetani akampitia' au 'shetani alimpitia' kwanza baadae akaja kugundua mna kipaji cha biashara. All in all, imeshatokea, wana mahusiano, na huyu baba ana hobby ya biashara, then mshauri mzuri, sio mtu baki, bali ni huyu dada, as long as ni bi Mdogo wake. Hatuna hakika kama akiacha kuwa mshauri wake, then ataacha na kuwa mpenzi wake.


Kama unaweza kumfikia huyu mama, mshauri kuwa hajajaaliwa kipaji cha biashara, lakini kajaaliwa mengi ambayo wengi hawajajaliwa, ndo maana kaolewa, na kadumisha ndoa mda wote. Asijisikie mnyonge, bali amshukuru Mungu kwa hilo alilomjaalia. Asidhani huyo bi. Mdogo kamzidi kila kitu, kwani angemzidi kila kitu, angekuwa ameolewa, na ana mume wake wa ndoa.
 
Hebu nieleweshe ulichoelewa kwa huyu mfalme wa amani aishiye vitani......hata kwa pm....
Kwamba ndoa za kisasa ambazo zimebase kwenye mhimili wa love zinaitwa love mareji hazima kudumu.
2. Kwamba ndoa zote zilizofungwa baada ya kuja kwa wakoloni na sumu yao iitwayo LOVE zinaangukia kwenye lovu mareji .hivyo si stebo
3. Kwamba wanaume wote waliondani ya lavu mereji wako likely kumpata right partiner wao nje ya ndoa zao
4. Kwamba wanawake wote walioko ndani ya lavu mereji wanachitiwa na waume zao ambao ni moo zani smata.

Mwalimu Teamo, nimepatie eh?
 
Pole but asikate tamaa si wanasema elimu haina mwisho?? kama bado ana nguvu ajienroll hata kwenye vikozi vya biashara na kisha ajichanganye. Kudispair hakutatui tatizo kunaongeza matatizo .....madepression, mapresha na mwishowe stroke.

MJ1, alipoachia shule ni mbali sana. umri wa zaidi ya miaka 50, atakaa darasa gani ukiziangatia aliachia la saba, takribani akiwa na miaka 14? Ila mimi huwa nasikitishwa sana na wamama wanaokaa tu nyumbani bila kujishughulisha, kisa waume zao wana hela. kuna mifano mingi tu, tena wengine waume wenyewe wanamwambia mama "wewe bora ulee tu watoto hapa nyumbani, kama mshahara wako nitakulipa"
 
Sijambo kaka, Shikamooo!!
Mmmmh, mchawi ni nani sasa kaka angu?

Huyu mme alimwacha mke nyuma katika maisha yake....sisemi ni lazima mke awe msomi, ila ile kuamini katika umiliki wa ndoa na mazao ya ndoa ndio jambo la muhimu...!
Hapa mwenye nafasi kubwa kufata nguvu za giza ni mke......so ndo asiyejiamini?
 
EXACTLY MAMA!

infact every woman in so called LOVE MARRIAGE.......!she has to feel the heat!very very unfortunately ni kwamba wanaume wa kisasa ''they are more than smarter''
okay aksante Teamo kajiswali ka uzushi...................is it possible kwa karne ya sasa kuwa na ndoa kama zile za babu zetu??.......yaani ambazo hazibase kwenye love?
 
Huyu mme alimwacha mke nyuma katika maisha yake....sisemi ni lazima mke awe msomi, ila ile kuamini katika umiliki wa ndoa na mazao ya ndoa ndio jambo la muhimu...!
Hapa mwenye nafasi kubwa kufata nguvu za giza ni mke......so ndo asiyejiamini?
And the vise verse kuld bi tru.....kuwa the way maisha yanavyokwenda kwa bi mkubwa ni matokeo ya Bi mdogo kum'shika' mzee kiaina au ku'mfunga' Bi Mkubwa kiaina
 
kyabushaija vipi mpwa.....!

kuna wahudumu hawaonekani tena ''pale mahala''...

vipi uliwahamisha?

Wako salama salimi maeneo ya Mtoni Kijichi - Kuna mukulu mmoja (ex-EPA) kafungua kiwanja kipya huko - Karibu sana
 
Huyu mme alimwacha mke nyuma katika maisha yake....sisemi ni lazima mke awe msomi, ila ile kuamini katika umiliki wa ndoa na mazao ya ndoa ndio jambo la muhimu...!
Hapa mwenye nafasi kubwa kufata nguvu za giza ni mke......so ndo asiyejiamini?

Nini tena hiyo Mtakatifu
 
Back
Top Bottom