MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Sikubaliani na wewe kabisa. Kakosea sana. Acheni kushabikia uzinzi bana Mtakatibu vipi bana
St. RR natamami mikufunge miguu usiondoke..umetulambisha asali afu wakimbia na sega?? hebu develop bana
Teamo sasa ninaanza kukuelewa orait orait............so hitimisho hapa ni kuwa wote wenye malove mariaje wajiandae eeh!!
Hii thread wanaume tunaruhusiwa kuchangia?
EXACTLY MAMA!St. RR natamami mikufunge miguu usiondoke..umetulambisha asali afu wakimbia na sega?? hebu develop bana
Teamo sasa ninaanza kukuelewa orait orait............so hitimisho hapa ni kuwa wote wenye malove mariaje wajiandae eeh!!
LD hujambo?
Huyu mme hakukosea kumwoa mkewe...japo pia hakukosea kuwa na mpango wa nje (najua ni dhambi).....
Nadhani wakati wanaona walikua kompatibo zaidi ya sasa....
Alichokosea huyu mme ni kumwacha mkewe nyuma katika masuala ya kimaisha, hadi akakosa kujiamini (kwa kiwango cha kuogopa hausigeli)...
Hatari kubwa iliyo mbele ya hii familia ni uhusishaji wa nguvu za giza...........
labda ntarudi.....
Labda nipe maana ya kosa......then tutaongea...
Mzima wewe?
I wish ningekuwa na "nyumba ndogo" 7!!!
Kulala kitanda kimoja na mwanamke yuleyule 7 days a week inakaraha zake!
Kwamba ndoa za kisasa ambazo zimebase kwenye mhimili wa love zinaitwa love mareji hazima kudumu.Hebu nieleweshe ulichoelewa kwa huyu mfalme wa amani aishiye vitani......hata kwa pm....
Pole but asikate tamaa si wanasema elimu haina mwisho?? kama bado ana nguvu ajienroll hata kwenye vikozi vya biashara na kisha ajichanganye. Kudispair hakutatui tatizo kunaongeza matatizo .....madepression, mapresha na mwishowe stroke.
Sijambo kaka, Shikamooo!!
Mmmmh, mchawi ni nani sasa kaka angu?
okay aksante Teamo kajiswali ka uzushi...................is it possible kwa karne ya sasa kuwa na ndoa kama zile za babu zetu??.......yaani ambazo hazibase kwenye love?EXACTLY MAMA!
infact every woman in so called LOVE MARRIAGE.......!she has to feel the heat!very very unfortunately ni kwamba wanaume wa kisasa ''they are more than smarter''
And the vise verse kuld bi tru.....kuwa the way maisha yanavyokwenda kwa bi mkubwa ni matokeo ya Bi mdogo kum'shika' mzee kiaina au ku'mfunga' Bi Mkubwa kiainaHuyu mme alimwacha mke nyuma katika maisha yake....sisemi ni lazima mke awe msomi, ila ile kuamini katika umiliki wa ndoa na mazao ya ndoa ndio jambo la muhimu...!
Hapa mwenye nafasi kubwa kufata nguvu za giza ni mke......so ndo asiyejiamini?
kyabushaija vipi mpwa.....!
kuna wahudumu hawaonekani tena ''pale mahala''...
vipi uliwahamisha?
Huyu mme alimwacha mke nyuma katika maisha yake....sisemi ni lazima mke awe msomi, ila ile kuamini katika umiliki wa ndoa na mazao ya ndoa ndio jambo la muhimu...!
Hapa mwenye nafasi kubwa kufata nguvu za giza ni mke......so ndo asiyejiamini?