cy el devon
Member
- May 5, 2012
- 50
- 7
Naombeni msaada wapendwa.....nahitaji kusomea ujuzi wa umeme wa magari, ngazi yangu ya elimu ni kidato cha nne sikubaatika kupata alama nzuri za masomo.Nilipata four ya 30;
Civ......D
Hist.....D
Geo.....F
Kisw...D
Eng.....F
Phy.....D
Chy.....F
Bio......D
Math...F
Nahitaji kujiendeleza mdogo wenu.Kwasasa mm ni police officers na nina mwaka mmoja tuu kazini naombeni ushauri wenu.
Civ......D
Hist.....D
Geo.....F
Kisw...D
Eng.....F
Phy.....D
Chy.....F
Bio......D
Math...F
Nahitaji kujiendeleza mdogo wenu.Kwasasa mm ni police officers na nina mwaka mmoja tuu kazini naombeni ushauri wenu.