Naombeni msaada wenu jamani

Naombeni msaada wenu jamani

Mwashelii

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
477
Reaction score
90
Samahani naomba kuuliza.Mimi nmemaliza diploma last year,nataka kua apply chuo direct bila kupitia T.C.U. Sasa kuna mtu kaniambia kuwa hiyo system haipo sa iv wote tuna apply kwa T.C.U. Naomba mnijuze tafadhari.
 
Mkuu huwez kudahiliwa chuo chochote ngazi ya degree bila kupitia TCU na hii wamefanya hivi siku hizi ili kuepukana na tatizo la vyuo kudahili wanafunzi wasio na sifa stahiki.
 
Mkuu huwez kudahiliwa chuo chochote ngazi ya degree bila kupitia TCU na hii wamefanya hivi siku hizi ili kuepukana na tatizo la vyuo kudahili wanafunzi wasio na sifa stahiki.

Jaman mie! kwaiyo ndo imekula kwangu jaman. T.C.U wenyewe wanaweza wakutupe hata usipopataka na mimi nahitaji kwenda chuo kimoja tu jamani mie.
 
Jaman mie! kwaiyo ndo imekula kwangu jaman. T.C.U wenyewe wanaweza wakutupe hata usipopataka na mimi nahitaji kwenda chuo kimoja tu jamani mie.

chuo ambacho unaweza kuapply direct ni morogoro muslim university,hawa hawatumii TCU
 
Back
Top Bottom