Naombeni msaada wenu kiushauri

Naombeni msaada wenu kiushauri

josephthadey

Member
Joined
Dec 19, 2014
Posts
8
Reaction score
2
Wana JF naombeni ushauri wenu..Meno yangu yameoza toka nikiwa mdogo sasa nina miaka 21 nachukia sana rangi ya meno yangu kwani sina uhuru ninapokuwa katika maongezi na watu nifanye nini yarudi kuwa meupe kama zamani?
 
Back
Top Bottom