Matokeo1
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 231
- 42
Mimi ni kijana nimemaliza degree ya sheria miaka minne chuo cha RUCO Iringa 2011, nimeangaika sana kutafuta hata sehemu ya kujiatachi nimekosa kabisa, kutokana na kipato kidogo cha familia yetu nimeshindwa kuendelea na Law school, ila kuna wasamaria wema wamenisikia wananisaidia nikasome MASTERS wamenishauri nibadilishe fani kidogo nikachukue MBA au MASTERS ya HR, ili niendane naushindani wa soko la ajira hapa Tanzania, nisaidieni wana JF nikasome ipi iniwekwe kwenye ajira umri nao unaenda kwa speed sana.