Pelham 1
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 548
- 99
Habari zenu ndugu zangu mlio jukwaani
Naomba msaada mwenye ujuzi na hili:
Nilivamiwa na Vibaka siku ya J/tatu mida ya saa 2(mbili) usiku maeneo ya Sinza Makaburini wakitaka kunipora simu nililipambana nao hawakufanikiwa ila wanipasua na chupa usoni karibu na jicho hatimae kutokomea baada ya Wasamalia kuja kutoa msaada.
Nilipelekwa Hospital ya Sinza Palestina na Wasamalia wema nakushonwa nyuzi 2 nimeambiwa nirudi J/tatu kutoa nyuzi
Swali langu/Msaada wangu kwenu: Je kuna dawa yoyote nayoweza kutumia kufuta kovu litakalobaki na alama ya nyuzi nilizoshonwa!!!???
Naomba msaada mwenye ujuzi na hili:
Nilivamiwa na Vibaka siku ya J/tatu mida ya saa 2(mbili) usiku maeneo ya Sinza Makaburini wakitaka kunipora simu nililipambana nao hawakufanikiwa ila wanipasua na chupa usoni karibu na jicho hatimae kutokomea baada ya Wasamalia kuja kutoa msaada.
Nilipelekwa Hospital ya Sinza Palestina na Wasamalia wema nakushonwa nyuzi 2 nimeambiwa nirudi J/tatu kutoa nyuzi
Swali langu/Msaada wangu kwenu: Je kuna dawa yoyote nayoweza kutumia kufuta kovu litakalobaki na alama ya nyuzi nilizoshonwa!!!???