Naombeni msaada wenu wa kimawazo

King Shaat

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2013
Posts
863
Reaction score
835
Mimi nili-apply na kupata mkopo wa HESLB mwaka wa kwanza. Na nili-update information zangu kama walivokuwa wakitaka. Mwaka wa pili hawakunipatia mkopo wakidai kuwa siku-update mkopo wangu...nikavutana nao mpaka nikachoka. Ila sasa najaribu ku-update kupitia OLAS kama registered member naambiwa kuwa hawana data zangu (akaunti yangu).
Naombeni mnishauri cha kufanya ndugu zangu.
 
We tayar huna chako mkuu pole komaa umalize chuo utalipa deni kidogo,,, ukute ulikosea ku update taarifa zako kwa kutotaka kushirikiana na wenzio,,, piga moyo konde malizia mwaka wa mwsho urud kitaa kijana wangu,,,afu kma nshakusoma hv na hyo username ako mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Bodi tangu walivobadilisha system imekuwa ni magumashi
pole sana usikute ndo ushatoswa, sipati picha maisha ya chuo without dear boom...
 
Asanteni sana ndugu zangu kwa kunipa moyo. Inafariji sana pale unapopata changamoto na watu kukupa tap mgongoni na kukwambia songa mbele!.

Ndugu angu em tujuane bhana@Kiboko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…