Naombeni msaada wenu wa mawazo au ushauri.

Masue 1

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
696
Reaction score
1,222
Jaman wadau kijana wenu nataka kuanza ujasiriamali nina mtaji wa million 4 nilikua na wazo la kununua Bodaboda lakn kuna mshkaji wangu kanishauri nifungue duka la rejareja la kuuza vitu kama mchele,unga, mafuta nk wadau naombeni ushauri wenu.
 
Dah!, Hongera Kwa Hatua Uliyofikia. Mimi Ninachoamini Ni Kwamba Kila Biashara Ni Nzuri Ili Mradi Haikuhatarishi, Pia Kila Biashara Inalipa, Na Kila Biashara Ina Mapungufu Yake Ila Si Kwa Kila Mtu Biashara Moja/ya mkumbo Kufanikiwa.
Mimi NaKushauri, Rejea Na Utumie Uzoefu Wako Pekee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…