Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Ni hivi nimepata kazi yakumtangazia mtu kazi yake so nikaanza mwanzo niliuza bidhaa mbili . Ila sasa hivi hata moja siuzi wateja waliokubali kufanya na mimi wanadai bidhaa nzuri ila kukubali na kununua bidhaa hawataki .
Nawengine nikiwaambia kuhusu hiyo bidhaa wanazima simu. Hawataki kunisikiliza hivi shida nini??
Nawengine nikiwaambia kuhusu hiyo bidhaa wanazima simu. Hawataki kunisikiliza hivi shida nini??