Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Unauza nini..?Ni hivi nimepata kazi yakumtangazia mtu kazi yake so nikaanza mwanzo niliuza bidhaa mbili . Ila sasa hivi hata moja siuzi wateja waliokubali kufanya na mimi wanadai bidhaa nzuri ila kukubali na kununua bidhaa hawataki .
Nawengine nikiwaambia kuhusu hiyo bidhaa wanazima simu. Hawataki kunisikiliza hivi shida nini??
Soft ware ipo kama appUnauza nini..?
Bei shingapiSoft ware ipo kama app
Ni software ambayo inasaidia kurahisisha uendeshaji wa shule kitaluma na kimahesabu piaBidhaa gani Kwani unauza..labda tutanunua na sisi
Anha, maanake ulikua unawauzia walimu sio?🤔Ni software ambayo inasaidia kurahisishaji wa uendeshaji wa shule kitaluma na kimahesabu pia
Hii software nikwa ajili ya mashule nainasaidia kurahishisha uendeshaji wa shule kitaluuma na kimahesabu napia inasaidia kuwapa wazazi taarifa mbalimbali kuhusu mwanae shuleniBei shingapi
Wenye shuleAnha, maanake ulikua unawauzia walimu sio?🤔
Basi vizuri... I hope kuna walimu pia humu na wenye shule na wengine wengi utapata tu wateja 😊🤗Wenye shule
I hopeBasi vizuri... I hope kuna walimu pia humu na wenye shule na wengine wengi utapata tu wateja 😊🤗
Tuna Silver ambayo ni 60,000 kwa mwezi ambayo unapata huduma zote na kutuma ujumbe kwa wazazi ni mara moja kwa mwezi.Bei shingapi
Naona manaa nilikuwa nimeanza vizuri tu nashule mbili walinikubaliaau umerogwaa
Hvi mbona unashida sana hii ndio nini kila saaa wewe ni unawaza k
Hvi mbona unashida sana hii ndio nini kila saaa wewe ni unawaza k
aha nimekupata kwahiyo kuna mtu amekupa umsaidie kuuza unafanya kama udalali flani si ndioTuna Silver ambayo ni 60,000 kwa mwezi ambayo unapata huduma zote na kutuma ujumbe kwa wazazi ni mara moja kwa mwezi.
Tuna gold ambayo ni 80,000 kwa mwezi unapata huduma zote ila unatuma mara 2 jumbe kwa wazazi.
Tuna premium hii ni unaweza tumia jumbe utakazo kwa wazazi upendavyo na huduma zote unapata na nish. 120,000 kwa mwezi .