naombeni msaada

naombeni msaada

celin

Member
Joined
Oct 4, 2011
Posts
62
Reaction score
13
jamani mm nina mchumba angu ambaye tuko karibu hatua za mwisho sasa alicho nifanya jana nashindwa huelewa niko njia panda....
ilikuwa ivi nilipiga sm usiku wa manane yaani saa 8 usiku bahati nzuri kapokea ila kila analo liongea tofauti naninavyo muuliza machale yakenicheza nikamwambia niambie unanipenda au unikiss sikaaniambia kiluga bahati nzuri wote niluga moja nikamwambia niambie kiswahili sikagoma anazuga sasa nikajakusikia sauti ya mdada anaogea" etichumbani umekimbia nini kunakunguni, alafu unaongea nanai. nipe hiyo sm" huyu mkaka alishindwa kukata sim ilipita kama dakika 2 akakatasimu nilipiga ile sm kama call30 hakupokea badae ananipigia cm anacho nieleza simuelewi. hapanimechoka na mahari kashatoa mume simtaki tena kumuona japo ananiambia tuonane je kunajipya hapo eti ;
nisaidieni kwamawazo jamani.
 
jamani mm nina mchumba angu ambaye tuko karibu hatua za mwisho sasa alicho nifanya jana nashindwa huelewa niko njia panda....
ilikuwa ivi nilipiga sm usiku wa manane yaani saa 8 usiku bahati nzuri kapokea ila kila analo liongea tofauti naninavyo muuliza machale yakenicheaa nikamwambia niambie unanipenda au unikiss sikaaniambia kiluga bahatinzuri wote niluga moja nikamwambia niambie kiswahili sikangoma anazuga sasa nikajakusikia sauti ya mdada anaogea etichumbani umekimbia nini kunakungini alafu unaongea nanai nipe hiyo sm huyu mkaka alishindwa kukatasim ilipitakama dakika 2 akakatasimu nilipigailesm kama call30 hakupokea badae ananipigiacm anacho nieleza simuelewi hapanimechoka na mahari kashatoa mumesimtaki tena kumuona japo ananiambia tuonane je kunajipya hapo eti ;
nisaidieni kwamawazo jamani.

Ukiona manyoya ujue keshaliwa Celin
 
Jipya gani unalotegemea kwake?

Nwy kuonana sio kuwa nae, onana umsikilize kisha upate na nafasi ya kumwambia humhitaji tena (kama ndivyo) uso kwa uso.
 
jamani mm nina mchumba angu ambaye tuko karibu hatua za mwisho sasa alicho nifanya jana nashindwa huelewa niko njia panda....
ilikuwa ivi nilipiga sm usiku wa manane yaani saa 8 usiku bahati nzuri kapokea ila kila analo liongea tofauti naninavyo muuliza machale yakenicheaa nikamwambia niambie unanipenda au unikiss sikaaniambia kiluga bahatinzuri wote niluga moja nikamwambia niambie kiswahili sikangoma anazuga sasa nikajakusikia sauti ya mdada anaogea etichumbani umekimbia nini kunakungini alafu unaongea nanai nipe hiyo sm huyu mkaka alishindwa kukatasim ilipitakama dakika 2 akakatasimu nilipigailesm kama call30 hakupokea badae ananipigiacm anacho nieleza simuelewi hapanimechoka na mahari kashatoa mumesimtaki tena kumuona japo ananiambia tuonane je kunajipya hapo eti ;
nisaidieni kwamawazo jamani.

Aisee pole sana! Hiyo hata mimi ningetia wasiwasi. Ila tuliza akili na fuatilia nyendo zake, hata harusi msogeze mbele ukiendelea kumchunguza.
Ila usi-react kwa sasa, bora umtegee mtego na kumshtukizia kwake nyumbani siku moja.
 
jamani kwani ndoa si bado?! Funga ndoa mama muanze maisha mapya.
 
nyie wanawake ebu tulizaneni bana....wanaume tutacheat tuu wengi wetu sasa amua uwe unabadilisha wanaume au uwe na husband na kupotezea hao vimada atakao wapitia pitia
 
jamani mm nina mchumba angu ambaye tuko karibu hatua za mwisho sasa alicho nifanya jana nashindwa huelewa niko njia panda....
ilikuwa ivi nilipiga sm usiku wa manane yaani saa 8 usiku bahati nzuri kapokea ila kila analo liongea tofauti naninavyo muuliza machale yakenicheaa nikamwambia niambie unanipenda au unikiss sikaaniambia kiluga bahatinzuri wote niluga moja nikamwambia niambie kiswahili sikangoma anazuga sasa nikajakusikia sauti ya mdada anaogea etichumbani umekimbia nini kunakungini alafu unaongea nanai nipe hiyo sm huyu mkaka alishindwa kukatasim ilipitakama dakika 2 akakatasimu nilipigailesm kama call30 hakupokea badae ananipigiacm anacho nieleza simuelewi hapanimechoka na mahari kashatoa mumesimtaki tena kumuona japo ananiambia tuonane je kunajipya hapo eti ;
nisaidieni kwamawazo jamani.
pole sana kwa yaliyokupata ila rekebisha uandishi wako ni mbovu bana.
nenda kaongee naye usikie anachotaka kukuambia ila dalili zote zinaonyesha hapo alikuwa na mtu mwingine......kuhusu kuolewa ama laa we fuata moyo wako.....
tahadhari; wanaume wengi ndo wapo hivyo km pia ilivyo wanawake wengi pia.
 
Nyota njema huonekana asubuhi kabla ya kuoana sio mwaminifu je mtakapokuwa mme na mke si utakuwa unalia kila siku huyo atakuumiza maisha yako yote bora utakafakari kabla ya kuivaa shela
 
Celine mdogo wangu huwa unamwomba Mungu??
Kama huwa unaomba au kama kuna watu huwa wanakuombea au kwa matendo yako mema Mungu amekuonyesha mapeema ili kukuepusha na mabaya zaidi!
Unajua huwa tunaambiwa tumshukuru Mungu kwa kila jambo lakini sisi huwa hatukubali! huwa tunajisahau na kutaka mapenzai yetu yatimie na si ya Mungu.
Kama utaweza kuendelea nae ujue utakua umeamua mwenyewe kushupaza shingo yako na itakuja kuvunjika isipate dawa.
mshukuru Mungu na uendelee kumwomba
 
na hakuna aliyemwaminifu duniani.......


nakubaliana na wewe lakini ni mapema sana! hee!
kalipa mahari hata kuoa bado akiishi nae wiki je??
tusidanganyane bana, tunajua wanaume ni viwembe lakini wanazidiana na huyo mmmmh sijui kama anajua anachokitaka!!!
 
pole ndugu
nenda kaonane nae usikie anakwambia nini nawe waweza mweleza lilopo moyoni mwako
bora ufanye maamuzi magumu mapema sio baadae aje kukwambie ''alikuwa hivyo kabla ya ndoa na ulikubali iweje unataka abadili tabia''
 
Mrembo pole sana, mpaka hapo cheo chako ushakijua wala huhitaji kuuliza, kama anataka mkaonane nenda kamuone kamsikilize pumba zake akimaliza mweleze pole pole kilicho moyoni mwako wala usionge kwa jazba wala papara mueleze yamuingie,kama umemsamehe au kama umeshamtapika aangalie ustarabu wake......
 
na hakuna aliyemwaminifu duniani.......

Hii siyo kweli waaminifu wako tu but uaminifu nje ya kumcha Mungu ni ngumu,ni jambo baya sana kuoana na mtu asiye mwaminifu Zimwi la ukimwi ni ngumu kulikwepa heri kutoolewa kuliko kuolewa na mtu ambaye unajua roho yako itakuwa mkononi kila siku,na hata ukitaka kuendelea kuoana naye mkapime kwanza ngoma mengine baadaye.
 
jamani mm nina mchumba angu ambaye tuko karibu hatua za mwisho sasa alicho nifanya jana nashindwa huelewa niko njia panda....
ilikuwa ivi nilipiga sm usiku wa manane yaani saa 8 usiku bahati nzuri kapokea ila kila analo liongea tofauti naninavyo muuliza machale yakenicheaa nikamwambia niambie unanipenda au unikiss sikaaniambia kiluga bahatinzuri wote niluga moja nikamwambia niambie kiswahili sikangoma anazuga sasa nikajakusikia sauti ya mdada anaogea etichumbani umekimbia nini kunakungini alafu unaongea nanai nipe hiyo sm huyu mkaka alishindwa kukatasim ilipitakama dakika 2 akakatasimu nilipigailesm kama call30 hakupokea badae ananipigiacm anacho nieleza simuelewi hapanimechoka na mahari kashatoa mumesimtaki tena kumuona japo ananiambia tuonane je kunajipya hapo eti ;
nisaidieni kwamawazo jamani.

Hizi lugha zenu wengine hatuelewi...................Husninyo huruhusiwi kutoa maoni hapa tafadhali
 
Dalili za mvua ni mawingu, jaribu kufanya uchunguzi wa kina kupata ukweli zaidi wa hili jambo. Isije ikawa ndo unaingia kwenye ndoa na asiye mwaminifu.
 
nisamee kwa mandiko mbovu ila nikuchanganyikiwa bwana wacha nilekebishe naona umenishitua
 
Back
Top Bottom