Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Habari zenu wandugu,
Nimekuwa nasumbuliwa sana na tumbo, mwanzoni nilijua ni Typhoid au Amoeba, lakin nmepima sijakutwa na ugonjwa wowote. Nimepima kila kitu lakini sijakutwa na ugonjwa wowote. Hadi HIV nimepima lakini sioni tatizo.
Linaanza kuumwa soon after breakfast linakata flani hiviii.
Mwenye ujuzi wa magonjwa ya tumbo naomba anisaidie.
Nimekuwa nasumbuliwa sana na tumbo, mwanzoni nilijua ni Typhoid au Amoeba, lakin nmepima sijakutwa na ugonjwa wowote. Nimepima kila kitu lakini sijakutwa na ugonjwa wowote. Hadi HIV nimepima lakini sioni tatizo.
Linaanza kuumwa soon after breakfast linakata flani hiviii.
Mwenye ujuzi wa magonjwa ya tumbo naomba anisaidie.