kilungula
Member
- May 6, 2014
- 23
- 5
Pamoja na kusoma ushauri wa tiba ya kupata haja kubwa kawaida lakini mimi bado nina tatizo hilo na linazidi. Nakunywa maji mengi ya uvuguvugu, matunda na mbogamboga, vyote hivyo havinisaidii. Nisaidieni ndugu zangu, nitumie nini. Sipendi kupata haja kwa kutumia dawa. Napenda nipate kawaida tu. Nikiingia chooni mpaka chozi linanitoka kwa kujikamua.
