DANIEL MWITA
Senior Member
- Sep 16, 2012
- 117
- 41
me naona uwasubirie wataalam waje. watakupatia ushaur
Pole sn,dawa bdo zinafanya kaz ndo mana kichwa kinauma,pata muda mwing wa kupumzika,kunywa maj meng,chakula pia.utapona tu.
ninaumwa na kichwa kisichotulia nilipima nikakutwa na malaria 5 nkapewa dozi ya mseto mwanzoni hakikupoa niliporudi hospital niliambiwa mseto itakua imeshindwa kuwaua wadudu nkatundikiwa drip za quinine sita nmetoka leo mchana lakini kichwa bado hakijatulia maji nakunywa mengi kweli chakula pia nakula lakini sioni mabadiliko naombeni msaada wenu.asante