Naombeni msaada

Prettinho

Member
Joined
Sep 22, 2014
Posts
48
Reaction score
2
Habari jf,,,,,, naombeni msaada wenu,,, nina tatizo la kubanwa na mkojo kila wakati n dan nikikojoa naumia,,, bt nilijaribu kunywa maji mengi ikaacha kuuma bt kutwa mkojo unanishika,,,,,,,
 
Pole sana mkuu.

Je, umefanya zinaa siku za karibuni?
 
yah kama wiki mbili zilizopita

Inawezekana umeambukizwa STD.

Wahi haraka hospital kwa daktari. Usikubali kujitibu nyumbani kienyeji, unaweza kufanya masihara siku umezidiwa unaenda kwa daktari unaambiwa "umeshachelewa".

Halafu kuwa makini mkuu. You Only Live Once (YOLO), hata kama kuna maisha mengine Paradiso lakini sidhani kama huko Paradiso patakuwa na groceries na mambo mengine kama hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…