Naombeni muongozo wenu wakuu!!!

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Wakuu poleni na kazi!!
Nataka kwenda Morogoro kikazi ila niko na privet car ila nataka nipite shortcut ya Mbagala hii njia ya Ikwiriri!! sitaki kupita hii Morogoro road hadi Chalinze naona mbali!! nakatiza Mbagala nadhani huko mbele nitaenda kukuta ile lami ilokatiza kwenda Morogoro!!! vipi wenye uzoefu na magari hapo nitatumia wese kiasi gani!!!
 
upo na gari gani mkuu,au haujui consuptions zinatofautiana kulingana na aina ya gari unayotumia?
 
Nani kakwambiaa ina lami mkuuu...
Njia ipo kwenda moro unapitia selou national park unatokea sehemu unaitwa mloka unatokea morogoro....hiyo njia ndy kwanza inaandaliwa

Ova
 
Nani kakwambiaa ina lami mkuuu...
Njia ipo kwenda moro unapitia selou national park unatokea sehemu unaitwa mloka unatokea morogoro....hiyo njia ndy kwanza inaandaliwa

Ova
Hiyo njia kuanzia dar unapitia wapi?
 
Mimi njia pekee ya mkato ninayo jua ni ya kupitia Mbagala, mvuti, Chanika , Pugu Kisarawe na kutokea Kibamba B hii unakwepa foleni za Mjini lakini huko unakosema sikujui
 
Mimi njia pekee ya mkato ninayo jua ni ya kupitia Mbagala, mvuti, Chanika , Pugu Kisarawe na kutokea Kibamba B hii unakwepa foleni za Mjini lakini huko unakosema sikujui

Hata hapo kutoka chanika kuitafuta kisarawe halafu kibamba B ni ndefu sana bora apitie kinyelezi
 
Hivi kuna njia ya kutokea moro kupitia mbagala?
 
Bmw wana series za 318, 118, 320i 320, na X 1 mpaka X6 na pia 400 series mpaka 540i na lile la Tu Pac 750i hapo ukubwa wa engine zimetofautiana ukisema V 6 ipo katika series gani hapo au toleo gani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…