Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Jamani eeh...
Nimeona nivunje ukimya maana kila mtu yupo kimya
Naombeni mnialike Krismasi jamani mimi hata sili sana, kuku wawili, nyama ya ng'ombe kilo moja, pilau sahani tatu, nne au tano nashiba kabisa mimi hata sili sana
Nasubiria mafuriko ya mialiko
Nimeona nivunje ukimya maana kila mtu yupo kimya
Naombeni mnialike Krismasi jamani mimi hata sili sana, kuku wawili, nyama ya ng'ombe kilo moja, pilau sahani tatu, nne au tano nashiba kabisa mimi hata sili sana
Nasubiria mafuriko ya mialiko