Naombeni mwongozo tafadhali

Wernery G Kapinga

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2012
Posts
376
Reaction score
127
Bila shaka mu wazima wa afya. Naomba mwongozo wa Mambo yafuatayo.

1. Ushuru wa kusafirisha mbuzi kutoka wilaya moja hadi nyingine ukoje?

2. Inaruhusiwa kusafirisha kwenye gari ya abiria (kwenye keria juu), au pikipiki?

3. Je, naweza kusafirisha nyama ya mbuzi kutoka halimashauri moja hadi nyingine ndani ya mkoa? Napo ushuru ukoje kwa wazoefu?

Naomba kuwasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbuzi ni wa kwako sasa kwanini ukaombe kibali na maushuru
km nyama umechinja wewe safirisha tu
lkn sio ukawafanyie biashara pale Vingunguti au Dubai, Comoro hata iwe nyama au ngozi utalipia
sasa weka wazi ni biashara
  • Utalipia Ushuru wa Mnadani wa Halmashauri
  • utalipia machinjioni na gharama nyingine
  • ukisafirisha uatalipia pia katika mnada utakaoshushia ili uwause tena
  • km ni wa sherehe wagawie wenzako hapo hakuna tena ushuru
 
Asante Sana mkuu. Kuna kitu nimekinyaka hapa. Shukrani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…