Manwambele
Senior Member
- Jan 4, 2016
- 110
- 172
Mimi ni kijana niko najishughulisha na udereva bajaji Moro, bajaji ni ya kwangu mwenyewe wala haina tajiri hesabu inapatikana 2 Mungu anasaidia lakini nina changamoto pia, zipo kama ilivyo katika kila biashara.
Sasa wakuu, nilichokuwa naomba ni msaada wa mawazo mana kuna kapesa nimepata nataka kujitanua kibiashara, kununua bajaji nyingine inashindikana mana mimi mwenywe naiona hali halisi ya usumbufu kwa madereva wenzangu wenye bajaji za mabosi pia na utunzaji hafifu.
Kwahiyo nikaamua nifikirie kununua Noah lakini nayo nkaambiwa ina changamoto nyingi tena sana.
Sasa kuna rafiki yangu yupo Dar es sallam kanishauri ninunue gari ndogo aina ya IST na mfano wa hizo niweze kufanyia Uber Dar, na mimi Dar ni mwenyeji lakini sio sana kama Moro na huduma ya Uber Moro hakuna.
Wakuu, naombeni mwongozo hapo nifanyeje au kuna mwenywe mawazo yoyote anisaidie.
Bajeti yangu ni kama Million 10.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wakuu, nilichokuwa naomba ni msaada wa mawazo mana kuna kapesa nimepata nataka kujitanua kibiashara, kununua bajaji nyingine inashindikana mana mimi mwenywe naiona hali halisi ya usumbufu kwa madereva wenzangu wenye bajaji za mabosi pia na utunzaji hafifu.
Kwahiyo nikaamua nifikirie kununua Noah lakini nayo nkaambiwa ina changamoto nyingi tena sana.
Sasa kuna rafiki yangu yupo Dar es sallam kanishauri ninunue gari ndogo aina ya IST na mfano wa hizo niweze kufanyia Uber Dar, na mimi Dar ni mwenyeji lakini sio sana kama Moro na huduma ya Uber Moro hakuna.
Wakuu, naombeni mwongozo hapo nifanyeje au kuna mwenywe mawazo yoyote anisaidie.
Bajeti yangu ni kama Million 10.
Sent using Jamii Forums mobile app