Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Jana nilitoa pongezi Kwa Kitenge na Osca nikiwa nimejikita kutetea uhai wa wanadamu wenzetu pamoja na HAKI ya elimu.
Mara nyingi ninapotoa hoja napenda kujieleimisha zaidi na pale ninapobaini utofauti napenda kukiri makosa na kuepusha kuipotosha jamii. Kwa issue ya Ngorongoro Naomba kuondoa nakufuta pongezi nilizotoa baada yakuona nakujiridhosha na mambo yafuatayo;
1. Kuna viashirishia Kwa Rushwa kwenye eneo la mgogoro wa Ngorongoro ambapo viongozi wa Ndani pamoja na wageni wanahusishwa.
2. Mahakama ya Afrika ilitoa hukumu kuhusu Masai kuendelea kuishi Ngorongoro na hivyo naamini Masai wana haki na may be hata haki ya kuishi na kujiendeleza ilionekana kabla ya maamuzi
3. Mhe. RAIS alitoa maelekezo Arusha viongozi wapeleke Fedha Maendeleo na wakae na viongozi wa kimila Lakini viongozi wa serikali wamemkatalia RAIS badala yake vyombo vya Habari vya upotoshaji vimekuwa vingi. Naamini kama serikali haikumtuma Kitenge asingerusha picha na video. Means amekwenda na baraka zote. Nimejiuliza hizi baraka kazitoa Kwa Nani? Nani anamlipa? Nimeona nisimpe kichwa nisimame na ukweli wa hoja.
4. Mpango wa kuwaendeleza Wamasai nimebaini upo na hata hoja ya elimu ipo ila changamoto kubwa ni waharabu kuwaona Masai SIYO Watu. Hii imeniuma zaidi ya nilivyowaonea huruma Wamasai kuuwawa na wanyama
Niombe Tena radhi na nitoe wito Kwa wananchi kusimama na Masai. Propaganda si poa.
Mara nyingi ninapotoa hoja napenda kujieleimisha zaidi na pale ninapobaini utofauti napenda kukiri makosa na kuepusha kuipotosha jamii. Kwa issue ya Ngorongoro Naomba kuondoa nakufuta pongezi nilizotoa baada yakuona nakujiridhosha na mambo yafuatayo;
1. Kuna viashirishia Kwa Rushwa kwenye eneo la mgogoro wa Ngorongoro ambapo viongozi wa Ndani pamoja na wageni wanahusishwa.
2. Mahakama ya Afrika ilitoa hukumu kuhusu Masai kuendelea kuishi Ngorongoro na hivyo naamini Masai wana haki na may be hata haki ya kuishi na kujiendeleza ilionekana kabla ya maamuzi
3. Mhe. RAIS alitoa maelekezo Arusha viongozi wapeleke Fedha Maendeleo na wakae na viongozi wa kimila Lakini viongozi wa serikali wamemkatalia RAIS badala yake vyombo vya Habari vya upotoshaji vimekuwa vingi. Naamini kama serikali haikumtuma Kitenge asingerusha picha na video. Means amekwenda na baraka zote. Nimejiuliza hizi baraka kazitoa Kwa Nani? Nani anamlipa? Nimeona nisimpe kichwa nisimame na ukweli wa hoja.
4. Mpango wa kuwaendeleza Wamasai nimebaini upo na hata hoja ya elimu ipo ila changamoto kubwa ni waharabu kuwaona Masai SIYO Watu. Hii imeniuma zaidi ya nilivyowaonea huruma Wamasai kuuwawa na wanyama
Niombe Tena radhi na nitoe wito Kwa wananchi kusimama na Masai. Propaganda si poa.