Article 25, states about duty to participate in work.
Article 25(3)(d) says:
"Any work or service which form part of:
(i)routine services for ensuring the well-being of society
(ii)compulsory national services in accordance with the law
(iii)the national endeavour at the mobilization of human resorces for the enhancement of the society on the national economy and ensure development and national productivity
Kifungu hiki kinaelezea mazingira ambayo mtu au jamii inaweza ikalazimishwa kufanya kazi au kutoa huduma ambayo ktk mazingira mengine ingeonekana kuvunja sheria lkn hapa haitakuwa hivyo.
ili kufaham vizur ibara hii tuende katika lengo la bunge(intention of parliament) ni duty to participate in work,ndiyo dhamira ya bunge kutunga ibara hii, hivyo kukatwa pesa yako is not a work.