Naombeni tafsiri ya Ndoto inayohusu uzinzi na kukutwa nyumbani na nyaraka za ofisini

Naombeni tafsiri ya Ndoto inayohusu uzinzi na kukutwa nyumbani na nyaraka za ofisini

Myebusi Mweusi

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2022
Posts
671
Reaction score
1,543
Nimeota nimeenda kupanga nyumba, ila chumba changu sikukipanga, vitu nikawa nimeviweka tu shaghala bagala.

Kwenye hiyo nyumba niliyopanga, kulikuwa na wasichana wawili warefu, mmoja mnene kidogo, basi nikawa mgeni wao, yaani nawalala wote kwa pamoja, hata sebuleni na popote nawalala tu.

Sasa ile tabia yangu, mama mwenye nyumba akawa haipendi. Akaamua kunifanyia arrangement ya vitu vyangu kule chumbani.

Basi akanikuta na nyaraka nyingi sana za ofisini. Huyu mwenye nyumba pia ni kine manager wangu ofisini.

Akanikuta na LOAN AGREEMENT ambayo imesainiwa na mteja tayari na management imesha sign, yaani iko fully executed, inatakiwa kuwemo kwenye dossier lakini mimi ninayo nyumbani.

Basi akanisema sana hadi nikakosa raha na nomeamka bado nina fikiria hiyo ndoto.

Pia msichana mmoja nilikuwa namlamba na kumnyonya mbuta yake, ilikuwa na chumvi sana kuliko kawaida na ilikuwa inatoa vitu fulani vya yabisi.

Naombeni tafsiri
 
Yaani umekula threesome ndotoni halafu sisi ndio tuje kukutafsiria uzinzi wako uliotopea hadi unauota?

Hapa jamvini kuna manabii wengi, wanajimu, wasoma viganja, watafsiri ndoto na Wachawi wa kila namna.

Mshana Jr, Rakims, Bujibuji Simba Nyamaume na FaizaFoxy kwa ufupi tu watakusaidia.

Pia kama unataka majini new model, watakupatia. Hawashindwi kitu
Naona wewe umeshamsaidia iatosha.

Faizafoxy hajawahi kuwa na sifa yoyote katika ulizozitaja.
 
Nimeota nimeenda kupanga nyumba, ila chumba changu sikukipanga, vitu nikawa nimeviweka tu shaghala bagala.

Kwenye hiyo nyumba niliyopanga, kulikuwa na wasichana wawili warefu, mmoja mnene kidogo, basi nikawa mgeni wao, yaani nawalala wote kwa pamoja, hata sebuleni na popote nawalala tu.

Sasa ile tabia yangu, mama mwenye nyumba akawa haipendi. Akaamua kunifanyia arrangement ya vitu vyangu kule chumbani.

Basi akanikuta na nyaraka nyingi sana za ofisini. Huyu mwenye nyumba pia ni kine manager wangu ofisini.

Akanikuta na LOAN AGREEMENT ambayo imesainiwa na mteja tayari na management imesha sign, yaani iko fully executed, inatakiwa kuwemo kwenye dossier lakini mimi ninayo nyumbani.

Basi akanisema sana hadi nikakosa raha na nomeamka bado nina fikiria hiyo ndoto.

Pia msichana mmoja nilikuwa namlamba na kumnyonya mbuta yake, ilikuwa na chumvi sana kuliko kawaida na ilikuwa inatoa vitu fulani vya yabisi.

Naombeni tafsiri
Acha wizi!
 
Hivi majini huzaliwa au hutengeneźwa? Inakuwaje mtu anaweza kuyafuga majini na kuwarushia watu asiowapenda?

Je majini sio mashetani?
Nakushauri funguwa uzi tutakuja kukujibu maswali yako, mada ya huu uzi ni tofauti, tusimuharibie mada yake mleta mada.
 
Nimeota nimeenda kupanga nyumba, ila chumba changu sikukipanga, vitu nikawa nimeviweka tu shaghala bagala.

Kwenye hiyo nyumba niliyopanga, kulikuwa na wasichana wawili warefu, mmoja mnene kidogo, basi nikawa mgeni wao, yaani nawalala wote kwa pamoja, hata sebuleni na popote nawalala tu.

Sasa ile tabia yangu, mama mwenye nyumba akawa haipendi. Akaamua kunifanyia arrangement ya vitu vyangu kule chumbani.

Basi akanikuta na nyaraka nyingi sana za ofisini. Huyu mwenye nyumba pia ni kine manager wangu ofisini.

Akanikuta na LOAN AGREEMENT ambayo imesainiwa na mteja tayari na management imesha sign, yaani iko fully executed, inatakiwa kuwemo kwenye dossier lakini mimi ninayo nyumbani.

Basi akanisema sana hadi nikakosa raha na nomeamka bado nina fikiria hiyo ndoto.

Pia msichana mmoja nilikuwa namlamba na kumnyonya mbuta yake, ilikuwa na chumvi sana kuliko kawaida na ilikuwa inatoa vitu fulani vya yabisi.

Naombeni tafsiri
very very near soon utafumaniwa na mke au demu wa wenyewe lakini very very near soon utafumaniwa na misconduct acts ofisini kwako. The best thing to do ni kuwa makini na jitahidi kuepuka mazingira yanaoashiria kufanya hayo ulioota
 
Hakuna ngono ya kulamba mbuta. Hiyo ni perversion.
Imeandikwa katika Biblia kwa Neno la Mungu mto ulisimama,the river stopped,na watu wakapita. Mto gani uliosimama? Mto wa manii,ukimwamini Mungu mto huo utakauka,na utaishi kistaarabu.
 
Hakuna ngono ya kulamba mbuta. Hiyo ni perversion.
Imeandikwa katika Biblia kwa Neno la Mungu mto ulisimama,the river stopped,na watu wakapita. Mto gani uliosimama? Mto wa manii,ukimwamini Mungu mto huo utakauka,na utaishi kistaarabu.
Fafanua
 
Hakuna ngono ya kulamba mbuta. Hiyo ni perversion.
Imeandikwa katika Biblia kwa Neno la Mungu mto ulisimama,the river stopped,na watu wakapita. Mto gani uliosimama? Mto wa manii,ukimwamini Mungu mto huo utakauka,na utaishi kistaarabu.
Weka fungu tusome kwa kuelewa
 
Nimeota nimeenda kupanga nyumba, ila chumba changu sikukipanga, vitu nikawa nimeviweka tu shaghala bagala.

Kwenye hiyo nyumba niliyopanga, kulikuwa na wasichana wawili warefu, mmoja mnene kidogo, basi nikawa mgeni wao, yaani nawalala wote kwa pamoja, hata sebuleni na popote nawalala tu.

Sasa ile tabia yangu, mama mwenye nyumba akawa haipendi. Akaamua kunifanyia arrangement ya vitu vyangu kule chumbani.

Basi akanikuta na nyaraka nyingi sana za ofisini. Huyu mwenye nyumba pia ni kine manager wangu ofisini.

Akanikuta na LOAN AGREEMENT ambayo imesainiwa na mteja tayari na management imesha sign, yaani iko fully executed, inatakiwa kuwemo kwenye dossier lakini mimi ninayo nyumbani.

Basi akanisema sana hadi nikakosa raha na nomeamka bado nina fikiria hiyo ndoto.

Pia msichana mmoja nilikuwa namlamba na kumnyonya mbuta yake, ilikuwa na chumvi sana kuliko kawaida na ilikuwa inatoa vitu fulani vya yabisi.

Naombeni tafsiri
Acha kuomba rushwa wateja.Itakugharimu.
 
Kwa ushauri tu wa bure ima uufuate au uupuuze, usipende pende sana kuambiwa tafsiri za ndoto unazoziota

Usipende kusimulia watu umeota nini
Kikiwa kizuri muombe mola wake akijaalie, kikiwa kibaya muombe akuepishe nalo

Na ikiwa basi inajirudia rudia Mara kwa Mara basi ukiamua kuuliza uliza kwa mtu ambae kwa maono yako unamuona ni mwwnye hekima na busara au mjuzi

Lakini hizi za Mara moja moja jaribu kutulia nalo mwenyewe
 
Back
Top Bottom