Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weeeh sio kweli,kwaio humu Mimi tu ndo wa tabata😆😆😏😆Hongera sana kwa kazi nzuri ila humu JF karibia wote tunaishi DAR na tumeshajenga Mbweni, Masaki, Mbezi Beach na Oysterbay ivo kupata Tender ni ngumu.
Ngoja waje
Sio mobile mkuu, ndio nimeanza.. Mungu mwema naamini nitafika hukoHongera sis Leejay49 ..Mungu azidi kukupa nguvu ya kupambana..lakin unajua Mimi sijabase huko labda Kama ikitokea hapo baadae Ila Kama company yako ungekua ni mobile maybe...tungefanya kitu..but I'm wishing you all the best my dear.
Ok. Napafahamu hapo.Bombambili hapa Ghorofani kwa njau, karibu mkuu
Beautiful Dahan.Hongera sis Leejay49 ..Mungu azidi kukupa nguvu ya kupambana..lakin unajua Mimi sijabase huko labda Kama ikitokea hapo baadae Ila Kama company yako ungekua ni mobile maybe...tungefanya kitu..but I'm wishing you all the best my dear.
Asante kwa ushauri mzuri mkuu..Ok. Napafahamu hapo.
Ushauri wangu, ukiamua kujitangaza hivi, andaa namba ya ofisi tu ili iwe rahisi kwa wanaotaka kuuliza kabla hawajaja ofisini. Sio lazima uwe nayo wewe, mpe awe nayo kijana yoyote kati ya hao unaemwamini.
Nazani unaweza ku deliver hapo shuke ya Tanga.?
Unapamba. Kama single mama
Mm Niko ddm nitakitfutia ghorofa Happ mtumba
Anaomba tenda ya kazi sio kupewa hongera😁Hongera dogo