Naombeni tiba ya kisaikolojia: Mwenzenu nikipanda ndege huwa nawaza hatari tupu

 
Inaelekea hii movie nzuri

Ni Album ya Mwanadada mrembo Mya alitoa mwaka 2000 inaitwa Fear of Flying moja ya vibao vyake humo ni Case of the X na The Best of Me.







====================
Moodring - Fallen -2003
====================
 
Ukipanda ile ya kienyeji taharuki ni hiyo hiyo mkuu?
 
bro kama unahc ukipanda ndege unakuwa na hofu we waagize hao cabin crew wakupe pombe unywe kwa wingi. ustukie uko airport. ikitokea imedongoka unajistukia uko mbingun au moton.
 

Mbao gani! Ngazi za ghorofa za mbao! Wapi huko!
 
Haya ndo madhara ya kutowazoesha watoto kupanda ndege.Muda wote anawaza Gravitational force 9.8

Hiyo 9.8 siyo gravitational force wala kitu chochote, ni namba tu ka namba nyingine! Nadhani ulitaka kuandika gravitational acceleration ambayo ni 9.8 m/ second squared! Humu ndani kila mtu anajitutumua aonekane mjuaji kumbe wengine wanaboronga hata walichotaka kuandika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…