Naombeni tiba ya kisaikolojia: Mwenzenu nikipanda ndege huwa nawaza hatari tupu

Naombeni tiba ya kisaikolojia: Mwenzenu nikipanda ndege huwa nawaza hatari tupu

Pole mkuu
Hiyo Ni shida ya kisaikolojia, Inaitwa fear of flying. Inawashika watu Wengi tu.

Yule Mwalimu wake sarafina kwenye movie ya sarafina, na yeye anafear of flying. Ni mMarekani alipewaga uraia na Raisi wa nchi fulani ya West Africa sikumbuki nchi gani lakini alishindwa kwenda sababu ya fear of flying.
MYA2000.jpg
 
Inaelekea hii movie nzuri

Ni Album ya Mwanadada mrembo Mya alitoa mwaka 2000 inaitwa Fear of Flying moja ya vibao vyake humo ni Case of the X na The Best of Me.









====================
Moodring - Fallen -2003
====================
 
Samahani kwa nitakaowakwaza kwa ushamba wangu!

Mwenzenu nikipanda ndege ikiwa angani huwa naogopa ile mbaya, Hususani nikichungulia dirishani ndo kabisaa!

Vikianza Vile vihudumu vinapoelezea kuhusu maparachuti fastafasta tena kwa kingereza ....ladies and gentleman..... Huwa nasema huyu anasema nini, yaani itokee mbungi huku juu hivi vikarachuti ambavyo hata cjawahi kuvivaa ndo nivae wakati wa hatari vitasaidia kweli?

Kwanza huko angani kuelea tu ule upepo ni mtihani mkubwa KM 5 juu angani hadi ufike chini kuna mtu hapo? Balaa ufikie juu ya nguzo za umeme itakuwaje!?

Kiufupi huwa nateseka sana nikipanda ndege wakati mwingine huwa najuta kwanini nimeipanda nakuacha bus!

Kuna wakati inapokaribia kutua rubani huzima AC kusubiri kuruhusiwa kutua, basi hata kupumua huwa naona kama oksjen inapungua,

Nyie mnawezaje wenzangu! Tena comfortable kabisa huwa nawaona mnaneng'eneka kwenda hadi chooni!

Mnawezaje wenzangu? Samahan kwa hili jaman
bro kama unahc ukipanda ndege unakuwa na hofu we waagize hao cabin crew wakupe pombe unywe kwa wingi. ustukie uko airport. ikitokea imedongoka unajistukia uko mbingun au moton.
 
Mimi kwakweli pia naogopa sana ghorofani yaani ctakag kuchungulia dirishani, kidude chetu cha kuwekea luku kimeharbika kwahiyo kuna ngaz tunaingiza direct
pale juu kwenye luku, aisee ikitokea niko peke angu ntahiyar kulala giza kuliko nipande ngazi, roho hua inanienda mbio nahis mbao zile zitavunjika basi naishia njiani.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app

Mbao gani! Ngazi za ghorofa za mbao! Wapi huko!
 
Haya ndo madhara ya kutowazoesha watoto kupanda ndege.Muda wote anawaza Gravitational force 9.8

Hiyo 9.8 siyo gravitational force wala kitu chochote, ni namba tu ka namba nyingine! Nadhani ulitaka kuandika gravitational acceleration ambayo ni 9.8 m/ second squared! Humu ndani kila mtu anajitutumua aonekane mjuaji kumbe wengine wanaboronga hata walichotaka kuandika!
 
Back
Top Bottom