King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Pole mkuu
Hiyo Ni shida ya kisaikolojia, Inaitwa fear of flying. Inawashika watu Wengi tu.
Yule Mwalimu wake sarafina kwenye movie ya sarafina, na yeye anafear of flying. Ni mMarekani alipewaga uraia na Raisi wa nchi fulani ya West Africa sikumbuki nchi gani lakini alishindwa kwenda sababu ya fear of flying.