Naombeni ufafanuzi kuhusu NSSF ili niweze kuchukua mafao yangu

Naombeni ufafanuzi kuhusu NSSF ili niweze kuchukua mafao yangu

The patriot man

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2015
Posts
1,071
Reaction score
1,361
Kwema wakuu,

Mkataba wangu uliisha nikaona nikachukue mafao yangu NSSF nikakamilisha taratibu zote.
Wakaniambia ni Subiri week 3

Sasa kabla ya week nikaona hela imengia Sema ilikua ni ndogo saana ila wameandika NSSF Ilala Transaction type CREDIT Ila nimeangalia account yangu salio liko pale pale Kuna mtu anaweza nitolea ufafanuzi.

Yaani wameweka hela ndogo sio hela ninayo wadai nimeshindwa kuelewa.

Asanteni.
 
Kwema wakuu.

Mkataba wangu uliisha nikaona nikachukue mafao yangu NSSF nikakamilisha taratibu zote.

Sasa nikaona hela imengia Sema ilikua ni ndogo saana ila wameandika NSSF Ilala Transaction type CREDIT Ila nimeangalia account yangu salio liko pale pale Kuna mtu anaweza nitolea ufafanuzi.

Asanteni
Maelezo yako hayaja kamilika mkuu.
Ebu jaribu kujieleza uzuri na ufafanuzi uwe mujarab.
Bado maswali ni mengi kuliko jibu unalo litaka.
 
Miaka uliyofanya kazi na kiwango cha mshahara wako ili ufafanuliwe vema
 
Ingia website y nssf, then jisajili. Utapata details zote kwenye account yako. Na formula ya mafao yako wamekuwekea. Jiongeze!!!
 
Ulikua unataka kufahamu nini zaidi mkuu nikuelezee
1. Ulipo fungua madai, unauhakika michango ilio ahinishwa kwenye fumu ya muajiri wako ilikua na hesabu kamili ya nadai yako?
2. Je, kiasi kilicho jazwa na muajiri wako wa mwisho ulihakikisha vipi kwamba ndio kiasi exactly na kilichokua kwenye akaunti yako ya kwenye mfuko wa shirika la hifadhi ya jamii??
3. Wakati unafungua madai Nssf, waliku hakikishia kwamba michango yako yote ipo?
4. Je haukuwahi kuunganisha michango yako kutoka kwa waajiri wako wawili ama na zaidi tofauti?
5. Je michango yako haijawahi kuhamishwa kutoka PPF na kwenda NSSF ama NSSF kwenda PPF ama kinyume chake?
6. Una umri wa miaka mingapi?
7. Je nimiaka mingapi imepita tangia ulipo anza contribution yako ya kwanza na ilikua mfuko gani?
 
1. Ulipo fungua madai, unauhakika michango ilio ahinishwa kwenye fumu ya muajiri wako ilikua na hesabu kamili ya nadai yako?
2. Je, kiasi kilicho jazwa na muajiri wako wa mwisho ulihakikisha vipi kwamba ndio kiasi exactly na kilichokua kwenye akaunti yako ya kwenye mfuko wa shirika la hifadhi ya jamii??
3. Wakati unafungua madai Nssf, waliku hakikishia kwamba michango yako yote ipo?
4. Je haukuwahi kuunganisha michango yako kutoka kwa waajiri wako wawili ama na zaidi tofauti?
5. Je michango yako haijawahi kuhamishwa kutoka PPF na kwenda NSSF ama NSSF kwenda PPF ama kinyume chake?
6. Una umri wa miaka mingapi?
7. Je nimiaka mingapi imepita tangia ulipo anza contribution yako ya kwanza na ilikua mfuko gani?
Huyu issue yake atakuwa kapewa fao la kukosa ajira kwahyo anapata 0.33% ya mshahara alio kuwa analipwa. Atakuwa analipwa kila mwezi mpaka miezi 12 kama atakuwa hajapata kazi nyingine basi atapewa mafao yake minus zile alizolipwa kwa mwaka mzima. Kama ikitokea kapata kazi basi ataendelea kuchangia pale alipo ishia.
 
Huyu issue yake atakuwa kapewa fao la kukosa ajira kwahyo anapata 0.33% ya mshahara alio kuwa analipwa. Atakuwa analipwa kila mwezi mpaka miezi 12 kama atakuwa hajapata kazi nyingine basi atapewa mafao yake minus zile alizolipwa kwa mwaka mzima. Kama ikitokea kapata kazi basi ataendelea kuchangia pale alipo ishia.
Kwa mfano ni laki tano kwa mwezii atakuwa anapewa 19800 kila mwezi. Je ina msaada wowote. Vipi uo ndio utaratibu wao ama
 
Kwa mfano ni laki tano kwa mwezii atakuwa anapewa 19800 kila mwezi. Je ina msaada wowote. Vipi uo ndio utaratibu wao ama
Itakusaidia kwenye stationary nauli kama ukiitwa kwenye usaili, kununua vocha na mengine alafu hyo ulio andika wewe ni elfu kumi na tisa mianane badala ya laki moja tisini na nane elfu.
 
Kwema wakuu.

Mkataba wangu uliisha nikaona nikachukue mafao yangu NSSF nikakamilisha taratibu zote.
Wakaniambia ni Subiri week 3

Sasa kabla ya week nikaona hela imengia Sema ilikua ni ndogo saana ila wameandika NSSF Ilala Transaction type CREDIT Ila nimeangalia account yangu salio liko pale pale Kuna mtu anaweza nitolea ufafanuzi.
Yaani wameweka hela ndogo sio hela ninayo wadai nimeshindwa kuelewa
Asanteni
Huyu issue yake atakuwa kapewa fao la kukosa ajira kwahyo anapata 0.33% ya mshahara alio kuwa analipwa. Atakuwa analipwa kila mwezi mpaka miezi 12 kama atakuwa hajapata kazi nyingine basi atapewa mafao yake minus zile alizolipwa kwa mwaka mzima. Kama ikitokea kapata kazi basi ataendelea kuchangia pale alipo ishia.
Sasa hv h
Huyu issue yake atakuwa kapewa fao la kukosa ajira kwahyo anapata 0.33% ya mshahara alio kuwa analipwa. Atakuwa analipwa kila mwezi mpaka miezi 12 kama atakuwa hajapata kazi nyingine basi atapewa mafao yake minus zile alizolipwa kwa mwaka mzima. Kama ikitokea kapata kazi basi ataendelea kuchangia pale alipo ishia.
Sasa hvi hiyo 33% wanaitoa kwa miezi sita tu then unasubiri miezi 18 kama hujapata kazi ndio unalipwa pesa yote. Mtoa mada alitakiwa atuambie yeye ni skilled au unskilled, cse unskilled wanapewa immediately, bali skilled below 45 tunaamini ana uwezo wa kupata kazi sehemu nyingine, so aendelee kutafuta kazi. Ila ufafanuzi mzuri ataupata huko huko nssf kwenyewe
 
Hivi wakuu, imawezekana kuhamisha mafao kutoka nssf kwenda Pssf,?
Maana yake ni kwamba mwanachama akitoka private sector na kuajiriwa serikalini.
 
Back
Top Bottom