The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 1,071
- 1,361
- Thread starter
- #21
Mimi ni skilled nimeenda kwao wakaniambia hvoSasa hv h
Sasa hvi hiyo 33% wanaitoa kwa miezi sita tu then unasubiri miezi 18 kama hujapata kazi ndio unalipwa pesa yote. Mtoa mada alitakiwa atuambie yeye ni skilled au unskilled, cse unskilled wanapewa immediately, bali skilled below 45 tunaamini ana uwezo wa kupata kazi sehemu nyingine, so aendelee kutafuta kazi. Ila ufafanuzi mzuri ataupata huko huko nssf kwenyewe